msondomba
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 1,818
- 2,248
AiseeeLazima ukaeView attachment 1270927
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeeLazima ukaeView attachment 1270927
Asante umemaliza.Mpaka sasa sijaona heavyweight anayefanya alichokua anafanya Tyson.
Da! Really?? Hembu angalia mapambano ya Tyson tena vizuri.
Nikupe tu moja ya sifa kubwa ya Tyson ilikua ni skills na flexibility. Tofauti na heavyweight wengine. Jamaa hakua na habari za kuvunga vunga kizembe kama hili pambano la leo.
Ukumbuke pia katika tasnia ya michezo skills zina fade with age.
Hivi sijui kama Douglas uliwahi kungwangalia vizuri, yaani hata ukimfunga mkono mmoja bado atagaragaza hizi sambusa nyama kama akina Ortis na kampuni yake, ukisikia ngumi jiwe ndio hizo.sawa tyson alikuwa na skills, lakini nae alikuwa anazidiwa ndio maana akapigwa, alipigwa na douglas akiwa under 30 yrs, boxing imekuwa ngumu ndio maana ni ngumu kuwa bingwa wa dunia na miaka 20 kama tyson, leo hii mabingwa wote wako above 28 yrs, skill na technic ziko juu, hakuna bondia mzembe
Evander kapigana wakati Tyson ajilia pension ya kustaafu, na pamoja na uzee wake waligundua ili wamshinde wasimpe nafasi ya kurusha ngumi , hapo ndio kushikana kuliposhika kasi. Ngumi za wazi round 4 ukifika basi Mungu yuko upande wako.tyson huyu aliedundwa na yule muhuni hashim rahman, aliedundwa na douglas buster, aliemng'ata sikio evander holfield baada ya kuzidiwa, tyson hakuwa na pumzi za kumaliza raundi zote 12, alikuwa ikifika raundi ya 6 anachoka kama nguruwe
Sio kweli mkuu!Umeangalia mpambano lakini?
Mbona Ortiz kadundwa ngumi nyingi tu!
Tyson loss zake zote ni za KO, alikuwa anawahi kukata moto, namkubali zaidi Evander The Real Deal, jamaa alikuwa chuma kikoli moto, hata loss zake unaona mwana kapambana, sio za KOtyson huyu aliedundwa na yule muhuni hashim rahman, aliedundwa na douglas buster, aliemng'ata sikio evander holfield baada ya kuzidiwa, tyson hakuwa na pumzi za kumaliza raundi zote 12, alikuwa ikifika raundi ya 6 anachoka kama nguruwe
Tatizo la Wilder ni unpredictable, hata kizazi hicho angewasumbua tu, hakuna binadamu anayeweza kuhimili ile devastating power ya right hand, he is gifted on that na ndicho kinachomfanya kuwa unique, kwenye post fight speech leo amesema once u fight with him u need to be perfect for 12 rounds, but yeye anahitaji only 2 seconds n' that's the fact. Even legend George Foreman alishathibitisha kwamba Wilder is the hardest puncher of all timeMabondia wa heavy weight kwa sasa ni aibu tupu, namiss sana ile crop ya akina Lennox Lewis, Klitcho, Evander, Kassim Rahman etc.
Aj mrembo yule anaweza zaa kwa ngumi moja kuuubwaHivi pambano lake na Joshua limeishiaga wap
Utakua umeanza kuangalia vitasa juzi ww.unasemaje?Wilder ni bondia mzuri lakini angekua kizazi Cha Mike iron Tyson asingewika.anawika sababu hakuna mabondia.
Kawaida yenu nyinyi kusifia vya kale wala haishangazi hata kwenye mpira bado watu hawataki kuukubali uwezo wa Christian Ronaldo na Messi kisa wachezaji wa zamani kama Maradona ,De Lima,Pele nk.
umbo la ortis na evander kuna tofauti gani? hata mike tyson alidundwa na douglas "buster" kwa KO, Tyson alikuwa anakutana na mabondia wabovu, hukumbuki tyson alivyomng'ata sikio evander? wilder yuko vizur hao akina lewis, evander wangekaa kwa wildr, tuwape heshima yao akina furry, joshua, wilder, hakuna bondia ambae hakuwahi kupigwa hata mohamed ali alishachezea vipigo sana
Da! Really?? Hembu angalia mapambano ya Tyson tena vizuri.
Nikupe tu moja ya sifa kubwa ya Tyson ilikua ni skills na flexibility. Tofauti na heavyweight wengine. Jamaa hakua na habari za kuvunga vunga kizembe kama hili pambano la leo.
Ukumbuke pia katika tasnia ya michezo skills zina fade with age.
Tyson alikuwa habari nyingine
Wazee nimeongelea swala la Tyson kwa Kirefu nimeona kujengeana hoja kwenye uzi huu ni kujibana.Tyson loss zake zote ni za KO, alikuwa anawahi kukata moto, namkubali zaidi Evander The Real Deal, jamaa alikuwa chuma kikoli moto, hata loss zake unaona mwana kapambana, sio za KO
Hili lijamaa halifai....yaani likirusha ngumi yake moja tu unaweza kudhani umepigwa na nyundo ama jiweThe baddest man on the Planet , all the best...View attachment 1269735
Jamaa naye alijitahidi sanaKing Kong nae ni danger na nusu
Mkiandaa hilo pambano,muandae na jeneza kabisaMwankinyo aje apambane na wilder
Tyson furry vipi??!..naonaga kama jamaa naye yuko fitiAndy Ruiz na AJ wote hawamuwezi King Kong Luis Ortiz.
Wilder anawakalisha wote.
Jamaa kuna watu wengine hawajui kutizama boxing!..bonge kapigana vizuri kwa raundi zote,ila ndo wilder mtu mbaya sana hasa ile panchi ya kulia,ikijaa ile kama anavyotaka yeye unaweza ufe!Noo Ortiz ameongoza kwa point katika round zote saba.
Anamalizana na Fury kwanza