Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,643
- 218,099
Muhidin Ndolanga ni mchafuzi, aliharibu FAT sasa ameharibu uchaguzi DRFA na FRAT, hana uadilifu wa kuwa mwenyekit wa kamati yoyote ya uchaguzi ni mvunja sheria anafahamika na ni AIBU KUBWA KWA TFF eti kumteua mjumbe wa Heshima! k
Kwa heshima ipi aliyonayo? Ang'olewe haraka sana kabla hajaharibu zaidi, ni mtu hatari mno kwa maendeleo ya soka.
Kwa heshima ipi aliyonayo? Ang'olewe haraka sana kabla hajaharibu zaidi, ni mtu hatari mno kwa maendeleo ya soka.