'ndoa' Za Vyuoni Zina Athari Zipi Kwa Mwanachuo?

Naungana na baadhi ya wachangiaji ktk hii Mada Adhimu.

ushauri wangu ni kuwa kama huna uwezo wa kuoa basi kaa Pembeni...

Lkn kwa BOOM la chuo unaweza kuoa ukijipanga vizuri hasa mwaka 2 au 3 kama umeanza kuchanga mapema na kuacha Starehe usizo na uwezo nazo.
ushamba unawaharibu vijana wengi kutaka kuiga mambo ya Mjini.

Vyuoni wapo academic advisers/Dean of students ambao moja ya kazi zao ni kuwashauri wanafunzi mambo kama hayo. na believe hata kama umedisco, Ma Deans wamekuwa wakiwasaidia wanafunzi juu ya mambo Haya...wengi nimeona wakipewa fursa ya kurudia masomo hata mwaka kutokana na mambo kama Haya.

bahati Mbaya the so called Academic Advisors hata Muda HAWANA!!!
 
Niseme kidogo kuhusu hii maada , nimepita maisha mengi ya vyuo mbalimbali , kwa chuo mapenzi yamekuwa ni kikwazo..... na yamekatiza ndoto xa watu wengi , na kujikuta maisha yskiwaendea kombo sana , wanawake kugongwa chuoni , ni kawaida sana kubadilishana wanaume

Mapenzi siomabaya kwa wanachuo ila inategemea how deep your !! Ushauri usijiingize sana ukaanza kujiaminisha sana , mapenzi ya chuo lolote , linaweza kutokea na likitokea kubali tu maisha yaendeleee.. vinginevyo supp itakuhusu ....

Umakini ni jambo la muhimu ikiwa ni pamoja na kujitambua na kujua wapi umetoka !! Hasa wale fresh fr school na bum linawachanganya .
.wajue kuna maisha nje ya mapenzi

sent from HUAWEI
 
Back
Top Bottom