Extra miles
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 3,319
- 4,352
hao ni kwamba wamechoka maisha ya taabu na kufikiria kuwa kama mama zao wangeolewa na wanaume wenye hela basi wasingepitia shida.Naam nikweli ....ila tatizo now days limezidi kuwa kubwa zaidi kwa sababu hata wale ambao wameishi katika maisha ya kawaida/kimasikini huwa wana fake na kujifanya ma-slay queen mpaka ndani ya ndoa
Sent using Jamii Forums mobile app