ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 1,964
- 3,895
Nashauri Ndoa za Kanisani ambazo hakuna kuachana mpaka kufa zifutuliwe mbali na badala yake tuanze na tuwe na ndoa za mahakamani tu ambapo mkuu wa wilaya hapo bomani anawafungisha ndoa, na ni rahisi sana kuitengua ndoa hii.
Kwakuwa mauaji ndoani yameshika Kasi ,ambayo yanasababishwa na hizi ndoa za milele.
Sasa ni wakati serikali kufuta ndoa hizi Ili watu waoane kiserikali na Kama ikitokea kufumaniana basi ni rahisi kuachana kabisa, na Nina uhakika ndoa hizi zitapunguza vifo.
Kwakuwa mauaji ndoani yameshika Kasi ,ambayo yanasababishwa na hizi ndoa za milele.
Sasa ni wakati serikali kufuta ndoa hizi Ili watu waoane kiserikali na Kama ikitokea kufumaniana basi ni rahisi kuachana kabisa, na Nina uhakika ndoa hizi zitapunguza vifo.