@Roma_Mkatoliki
Mafanikio Makubwa Kwenye NDOA Yoyote Sio Kupata #Pesa Wala Sio Kumiliki #Mali Pia Sio Kujenga #Nyumba Wala Kununua #Gari Mafanikio Makubwa Ni Kuhakikisha Mkeo/Mumeo Anapendwa/Anapatana/Anakubalika/Anaelewana Na Familia/Wazazi Na Ndugu Zako.
Kwani wewe mafanikio unayadefine vipi?
Mafanikio kila mtu anayachukulia kwa jinsi yeye alivyoamua kuyachukulia. Kuna wengine mafanikio ni kuoa,Kuweza kula na kulala,kumiliki magari nk..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.