Ndoa yangu inateketea

Habari wana JF wote kwa ujumla, bila ya kupoteza muda naomba kuja kwenye mada husika. Mimi ni kijana wa miaka 35,ndoa yanagu mpaka sasa inamiaka 5 tuu. Katika kipindi chote hichi tumeishi kwa furaha na upendo mkubwa tumebahatika kupata watoto 2.

Mke wangu ni mtumishi chuo kikuu(mwalimu)na mimi ni unga unga mwana pangu pakavu baada ya kampuni fulani ya mawasiliano niliyokua nafanya kazi kufungiwa na serikali kwa madai ya kukwepa kulipa na kuhujumu uchumi hivyo kesi bado iko mahakamani lakini sijawahi kukosa rizik japo kipato changu ni kidogo ila upendo na furaha viliendelea kushamiri.

KUANZA TATIZO
Mambo yalianza kua mabaya ktk ndoa yangu pale tuu mke wang alivyohamishwa kikazi na kuja hapa Dar ktk chuo kikuu fulani mwaka huu mwez 3 hivyo mimi niliendelea kubaki mkoni kwa lengo la kujipanga ili nihamie dar ili niwe karibu na familia yangu.

Ifahamike kua uhamisho wake haukua wa malipo kutokana na yy ndo aliomba kuhamishwa hivyo alipofika hapa Dar alifikia kwao maana yeye ni mzaliwa wa hapa dar.

Baada ya miezi 2 kupita mimi pia nikatoka mkoani na kuja hapa Dar,ila nilifikia nyumban kwetu kwa wazazi wangu (Mkuranga)
Harakaki za kutafuta nyumba zikaanza,kwa bahati mbaya wakati sijalipia nyumba nikafiwa na mzazi wangu(baba) chakushangaza mke wangu hakuweza kufika msibani kwa madai ya kukosa ruhusa kazini.

Sikua na neno maana bado nilikua kwenye majonzi,baada ya msiba kumalizika nilinza kujisikia homa kali na kulazwa hospitali,baada ya vipimo niligundulika ni Covid 19,

Mungu alisaidia nikaruhusiwa na kuendelea na matibabu nyumban. Wakati naendelea na matibabu mawasiliano na mke wangu yalikua ya tabu sana,simu za zilikua hazipaikan kwa madai mtoto wetu mdogo ameharibu simu yake hivyo ilinibidi niwe namtafuta mama mkwe kuongea na mke wangu

Hali ya kimawasiliano ilizidi kua mbaya zaid kadri siku zinavyozidi kusonga mbele,akawa hanitafuti,mpaka mimi nimtafute yeye, upendo wake kwangu ulikua umepungua sana kwangu. Maana hata kunijulia hali imekua vigumu kwake. Kibaya zaid alinza kufuta account namba yake ya wasapu na kuwa online kupitia Facebook nilivyomuuliza mbona nakuona online ushanunua simu nyingine?alinijibu kua ni ya ndugu yake wanaishi karibu pia namjua huyo mtu.

Nilimuomba namba ya simu anayoitumia ya huyo ndugu yake akanipa. Chaajabu sasa nikipiga ile namba anapokea muhusika wa ile simu na ananimbia yy yuko mbali kidogo na mke wangu.

Hii hali ilinishangaza sana kwan mda ambao nachat na mke wangu Facebook ndo mda huo nimepiga simu baada ya yy kunipa hiyo namba na kaniambia ndo anaitumia kwenye hiyo simu,

Niliendelea kuvumilia hii hali kwakua sikua na jinsi maana bado naendelea na matibabu. Hapa juzi kanitumia ujumbe kupitia Facebook anasema tuachane yy amechoka na maisha ya ndoa hivyo anahitaji kua single,haoni faida ya kua kwenye ndoa. Kwa kwel moyo wangu wote ulikua unawaka moto kwa maumivi makari sana

Kwakua bado naumwa halafu nakutana na changamoto kama hii. Ilinibidi nimtafute kwa kumpigia simu kupitia kwa mama ake akampa simu nikaongea nae.

Nilimuuliza kwan kipi kibaya ambacho nimekufanyia mpaka umefikia maamuz hayo ya kutaka tuachane?alinijibua kua yy amechoka na kudharauliwa hapo kwao maana inaonekama kama mimi nimemdamp tuu hapo kwao,

Nilimuuliza kwan hujui hali yangu ya kiafya kwasasa? Akanijibu kua anajua ila hayo ndo maamuzi aliyaamua kwan kichwa chake hakiko sawa,pia kazin kwake pia hajapandishwa mshahara hivyo hayuko sawa. Baada ya kuniambia hiyo alinikatia simu.

Ifahamike kua kipindi hiki chote ninachoumwa kaja kuniona mara moja tuu mpaka sasa ni mwez umekata hajaja kuniona.
Na mda huu yuko likizo haend kazin.

Naombeni ushauri wenu na mawazao nini nifanye kuinusuru ndoa yangu?hali yangu kiafya bado haija kaa sawa.ndoa inazidi kuniumiza msaada wenu tafadhali.
Never give up on your family never.(children). But wife is NOT your blood relative.

SO,akitaka kumuacha,onana nae (Ila pambania watoto wako wakue vzr),ili ujihakikishie sababu ya kuachana, alaf kubali kuwa mjinga muachane officially ili asijekusababishia matatizo makubwa mbelen ukapata kilema cha maisha.

#kuna baadhi ya mafanikio maishani, Mungu hawezi kuyaruhus mpk awatoe watu watakao kuangusha tena.

#Ndio pale unaona unatafuta na mtu ila kabla hamjaanza kufurahia maisha,anakata tamaa na anakusaliti na unakosa nguvu ya kuendelea kushirikiana nae,ila baada ya kuachana nae officially,Ndio mafanikio makubwa yanajirud,na hapo HUPASWI KUMRUDIA HATA WAKIJA WAZEE WA KANISA AU MSIKITI(Maana Mungu alikutenga nae kwasababu).
#
 
Habari wana JF wote kwa ujumla, bila ya kupoteza muda naomba kuja kwenye mada husika. Mimi ni kijana wa miaka 35,ndoa yanagu mpaka sasa inamiaka 5 tuu. Katika kipindi chote hichi tumeishi kwa furaha na upendo mkubwa tumebahatika kupata watoto 2.

Mke wangu ni mtumishi chuo kikuu(mwalimu)na mimi ni unga unga mwana pangu pakavu baada ya kampuni fulani ya mawasiliano niliyokua nafanya kazi kufungiwa na serikali kwa madai ya kukwepa kulipa na kuhujumu uchumi hivyo kesi bado iko mahakamani lakini sijawahi kukosa rizik japo kipato changu ni kidogo ila upendo na furaha viliendelea kushamiri.

KUANZA TATIZO
Mambo yalianza kua mabaya ktk ndoa yangu pale tuu mke wang alivyohamishwa kikazi na kuja hapa Dar ktk chuo kikuu fulani mwaka huu mwez 3 hivyo mimi niliendelea kubaki mkoni kwa lengo la kujipanga ili nihamie dar ili niwe karibu na familia yangu.

Ifahamike kua uhamisho wake haukua wa malipo kutokana na yy ndo aliomba kuhamishwa hivyo alipofika hapa Dar alifikia kwao maana yeye ni mzaliwa wa hapa dar.

Baada ya miezi 2 kupita mimi pia nikatoka mkoani na kuja hapa Dar,ila nilifikia nyumban kwetu kwa wazazi wangu (Mkuranga)
Harakaki za kutafuta nyumba zikaanza,kwa bahati mbaya wakati sijalipia nyumba nikafiwa na mzazi wangu(baba) chakushangaza mke wangu hakuweza kufika msibani kwa madai ya kukosa ruhusa kazini.

Sikua na neno maana bado nilikua kwenye majonzi,baada ya msiba kumalizika nilinza kujisikia homa kali na kulazwa hospitali,baada ya vipimo niligundulika ni Covid 19,

Mungu alisaidia nikaruhusiwa na kuendelea na matibabu nyumban. Wakati naendelea na matibabu mawasiliano na mke wangu yalikua ya tabu sana,simu za zilikua hazipaikan kwa madai mtoto wetu mdogo ameharibu simu yake hivyo ilinibidi niwe namtafuta mama mkwe kuongea na mke wangu

Hali ya kimawasiliano ilizidi kua mbaya zaid kadri siku zinavyozidi kusonga mbele,akawa hanitafuti,mpaka mimi nimtafute yeye, upendo wake kwangu ulikua umepungua sana kwangu. Maana hata kunijulia hali imekua vigumu kwake. Kibaya zaid alinza kufuta account namba yake ya wasapu na kuwa online kupitia Facebook nilivyomuuliza mbona nakuona online ushanunua simu nyingine?alinijibu kua ni ya ndugu yake wanaishi karibu pia namjua huyo mtu.

Nilimuomba namba ya simu anayoitumia ya huyo ndugu yake akanipa. Chaajabu sasa nikipiga ile namba anapokea muhusika wa ile simu na ananimbia yy yuko mbali kidogo na mke wangu.

Hii hali ilinishangaza sana kwan mda ambao nachat na mke wangu Facebook ndo mda huo nimepiga simu baada ya yy kunipa hiyo namba na kaniambia ndo anaitumia kwenye hiyo simu,

Niliendelea kuvumilia hii hali kwakua sikua na jinsi maana bado naendelea na matibabu. Hapa juzi kanitumia ujumbe kupitia Facebook anasema tuachane yy amechoka na maisha ya ndoa hivyo anahitaji kua single,haoni faida ya kua kwenye ndoa. Kwa kwel moyo wangu wote ulikua unawaka moto kwa maumivi makari sana

Kwakua bado naumwa halafu nakutana na changamoto kama hii. Ilinibidi nimtafute kwa kumpigia simu kupitia kwa mama ake akampa simu nikaongea nae.

Nilimuuliza kwan kipi kibaya ambacho nimekufanyia mpaka umefikia maamuz hayo ya kutaka tuachane?alinijibua kua yy amechoka na kudharauliwa hapo kwao maana inaonekama kama mimi nimemdamp tuu hapo kwao,

Nilimuuliza kwan hujui hali yangu ya kiafya kwasasa? Akanijibu kua anajua ila hayo ndo maamuzi aliyaamua kwan kichwa chake hakiko sawa,pia kazin kwake pia hajapandishwa mshahara hivyo hayuko sawa. Baada ya kuniambia hiyo alinikatia simu.

Ifahamike kua kipindi hiki chote ninachoumwa kaja kuniona mara moja tuu mpaka sasa ni mwez umekata hajaja kuniona.
Na mda huu yuko likizo haend kazin.

Naombeni ushauri wenu na mawazao nini nifanye kuinusuru ndoa yangu?hali yangu kiafya bado haija kaa sawa.ndoa inazidi kuniumiza msaada wenu tafadhali.
mbn hili zali mbn halinitokei. Lilinitokea juzi kwa mchepuko lkn. Eti naona tuachane tena kwa msg. Na mi nikamjibu kwa msg "SAWA". Mpaka hapa naandika tuko kumyaaaa. Simtafuti hanitafuti maisha yanasonga. Maana few days back kabla ya message take alianza commands kibao nikamchomolea
 
Pole Sana jipe moyo na ujasiri Ukiona hivyo ni dalili zinazoonesha mkeo kapata bwana mwingine au labda kakuchoka kutokana na kipato chako au labda ubinafsi unamsumbua,kwanini anatoa maamuzi ya haraka ya kuachana badala ya kutafuta suluhu wapi mlipotofautiana au kukwazana.Itisheni kikao Cha kifamilia mtafute chanzo Nini Cha hayo yote hapo ili mtatue tatizo na kurekebisha.Mwanamke akikataa ushauri zaidi ya Mara tatu na aking'ang'ania muachane Basi wewe muache aende,Tulia na ulee watoto wako na yeye pia atatakiwa ahusike katika kutoa mahitaji ya msingi kwa watoto na malezi.Usiutese moyo siku akikumiss atarudi tu yeye mwenyewe amini hivyo na mtaziweka tofauti chini huyo bado ni mkeo tu hata iweje Sema huwezi jua anastress za Nini mpaka analazimisha muachane kuachana sio Jambo rahisi kihivyo Kama anavyo fikiri na isitoshe tayari mnafamilia.
 
Naombeni ushauri wenu na mawazao nini nifanye kuinusuru ndoa yangu?hali yangu kiafya bado haija kaa sawa.ndoa inazidi kuniumiza msaada wenu tafadhali.
Sasa mkuu huoni kama unataka kulazimisha penzi. Huyo hakutaki tena, wewe unataka unusuru ndoa, tafuta mwengine tu.
 
Mkuu! Kwa pole sana inaonekana unampenda sana huyo mwanamke, yeye hakupendi, na sio hakupendi hana future na wewe, mwanamke katika maisha yake hajawah chagua mwanaume sahihi, yaani kila anayempitia kwake awali humuona no sahihi, lakini dhambi ya usaliti hutafuna, atakuacha wewe, huko anakoenda kwenue maisha mapya sidhani kama anaenda kuishi na mwanamke mwezie, naamini anaenda kuishi na mwanaume, huyu ni mwanaume ambae anajua fika amemchukua mwanamke wa mtu, hata kama huyo mkeo hajamwambia kuwa yupo katika ndoa, hawasemagi, lakini atamkuta na ndala zake( umemzalisha ) matyityi ukiyaona utajua tu huyu kishazaa na mzalishaji, hapo huyo mwanaume hata kuwa na amani maishani na huyo mwanamke yaani kila akimuangalia itamjia picha kwamba huyu mwanamke alishazaa na mchizi awali, je hawana mwasiliano? Kwanini waliachana? Hawezi kuniacha na mimi? Basi huyo mtu anayemzuzua sasa atakuwa na huyo malay* kwa machale, atamtia ududu na mwishonwa siku atamtimua tu, wanawae huwa wanaamini sisi wanaume ni wajinga, lakini hakika wao ni wajinga wa kiwango cha kimataifa.

Achana nae, tena ni vizuri mkaachana sasa hivi kabla hajaota mapum*u akaja kukusumbua baadae, mshushie kituo kinachofuata huku kila mtu akishihufia sababu ni yeye ndio ametaka, kabla hajaanza kwenda kwa waganga kukufanyia mataduni utoe talaka...

Mkuu, niliachwa na mwanamke nikiwa nimepata ajali na nilikuwa nimevunjika viganja vya mikono yoote miwili, yaan siwezi kula wala kuchamba yaani unaenda msalani alafu unafika kule unakaa saa nzima hamna uchofanya ni majuto na majonzi, alafu apo kaniachia vitoto mmoja ana 1.5 mwingine 2.5 achilia mbali kufanya jambo lolote linalohusisha mikono...leo hii watoto wanakuwa fresh tu na maisha yanasonga, niko vizuri

Kila la kheri ni mtihani mdogo sana huo mkuu, achana nae ili upate changamoto mpya.
 
Mkuu! Kwa pole sana inaonekana unampenda sana huyo mwanamke, yeye hakupendi, na sio hakupendi hana future na wewe, mwanamke katika maisha yake hajawah chagua mwanaume sahihi, yaani kila anayempitia kwake awali humuona no sahihi, lakini dhambi ya usaliti hutafuna, atakuacha wewe, huko anakoenda kwenue maisha mapya sidhani kama anaenda kuishi na mwanamke mwezie, naamini anaenda kuishi na mwanaume, huyu ni mwanaume ambae anajua fika amemchukua mwanamke wa mtu, hata kama huyo mkeo hajamwambia kuwa yupo katika ndoa, hawasemagi, lakini atamkuta na ndala zake( umemzalisha ) matyityi ukiyaona utajua tu huyu kishazaa na mzalishaji, hapo huyo mwanaume hata kuwa na amani maishani na huyo mwanamke yaani kila akimuangalia itamjia picha kwamba huyu mwanamke alishazaa na mchizi awali, je hawana mwasiliano? Kwanini waliachana? Hawezi kuniacha na mimi? Basi huyo mtu anayemzuzua sasa atakuwa na huyo malay* kwa machale, atamtia ududu na mwishonwa siku atamtimua tu, wanawae huwa wanaamini sisi wanaume ni wajinga, lakini hakika wao ni wajinga wa kiwango cha kimataifa.

Achana nae, tena ni vizuri mkaachana sasa hivi kabla hajaota mapum*u akaja kukusumbua baadae, mshushie kituo kinachofuata huku kila mtu akishihufia sababu ni yeye ndio ametaka, kabla hajaanza kwenda kwa waganga kukufanyia mataduni utoe talaka...

Mkuu, niliachwa na mwanamke nikiwa nimepata ajali na nilikuwa nimevunjika viganja vya mikono yoote miwili, yaan siwezi kula wala kuchamba yaani unaenda msalani alafu unafika kule unakaa saa nzima hamna uchofanya ni majuto na majonzi, alafu apo kaniachia vitoto mmoja ana 1.5 mwingine 2.5 achilia mbali kufanya jambo lolote linalohusisha mikono...leo hii watoto wanakuwa fresh tu na maisha yanasonga, niko vizuri

Kila la kheri ni mtihani mdogo sana huo mkuu, achana nae ili upate changamoto mpya.
Mbona unajaribu kuficha ficha kitu fulani? Je, mkeo alijutia kwa alichokufanyia(alipata pigo lolote)? Au bado anaendelea kula raha tu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana Mkuu,
Kitendo cha mke wako kutafuta uhamisho wa kwenda Dar, nyumbani kwao ilipaswa kukupa ishara kuwa kuna jambo baya katika ndoa yenu kwa upande wake...

Mke wako ni mtu anapenda vitu (material wife) na kazi alonayo inampa kiburi.
Na pia familia yake inahusika katika kumshauri vibaya.

Kama kweli unampenda mke wako, bas tafuta mganga wa kienyeji afanye yafuatayo,
1.Amfukuzishe kazi na asipate kazi milele na
2.Amrudishe kwako.

Kila la kheri...
Unaweza kuta familia yake wala aihusiki na tabia zake, ila anawatumia kama kichaka.

Mwenye akili timamu, anauwezo wa kuchuja ushauri. Huyo mke, ni mawazo yake binafsi baada ya kuanza kuchepuka.
 
Ukweli ni kuwa asilimia75 ya wanawake wenye ajira, wakishapata watoto wawili au watatu Ila hasa wawili wanapenda kuishi na watoto wao tu ili wawe huru,
Ili mume uvumilike ukubali kuwa Mjinga mjinga kwa mkewe Kama ushauri alio utoa mwijaku kwa pett .
Umenikumbusha Interview moja Denzel Washington aliulizwa siri ya kuwa na ndoa iliyodumu muda mrefu..(yeye kama mume anafanya nini)..alijibu.."at home,shut your mouth and just listen"..

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Ni wazi hakutaki tena na vizuri amekuwa muwazi, hivyo ni vyema ukazingatia afya yako upone baada ya hapo ongeza bidii kwenye kutafuta fedha.

Inawezekana unampenda lakini yeye hakupendi ameamua kukupiga chenga kwa kuhama na kuzuia mawasiliano.

Move on....35 bado sana utatusua na utapata mnaependana kwa dhati...huyo kuna lecturer mwenzie ameshamchanganya na hivi huna pesa ndio kabisa anakuona mzigo.
 
Habari wana JF wote kwa ujumla, bila ya kupoteza muda naomba kuja kwenye mada husika. Mimi ni kijana wa miaka 35,ndoa yanagu mpaka sasa inamiaka 5 tuu. Katika kipindi chote hichi tumeishi kwa furaha na upendo mkubwa tumebahatika kupata watoto 2.

Mke wangu ni mtumishi chuo kikuu(mwalimu)na mimi ni unga unga mwana pangu pakavu baada ya kampuni fulani ya mawasiliano niliyokua nafanya kazi kufungiwa na serikali kwa madai ya kukwepa kulipa na kuhujumu uchumi hivyo kesi bado iko mahakamani lakini sijawahi kukosa rizik japo kipato changu ni kidogo ila upendo na furaha viliendelea kushamiri.

KUANZA TATIZO
Mambo yalianza kua mabaya ktk ndoa yangu pale tuu mke wang alivyohamishwa kikazi na kuja hapa Dar ktk chuo kikuu fulani mwaka huu mwez 3 hivyo mimi niliendelea kubaki mkoni kwa lengo la kujipanga ili nihamie dar ili niwe karibu na familia yangu.

Ifahamike kua uhamisho wake haukua wa malipo kutokana na yy ndo aliomba kuhamishwa hivyo alipofika hapa Dar alifikia kwao maana yeye ni mzaliwa wa hapa dar.

Baada ya miezi 2 kupita mimi pia nikatoka mkoani na kuja hapa Dar,ila nilifikia nyumban kwetu kwa wazazi wangu (Mkuranga)
Harakaki za kutafuta nyumba zikaanza,kwa bahati mbaya wakati sijalipia nyumba nikafiwa na mzazi wangu(baba) chakushangaza mke wangu hakuweza kufika msibani kwa madai ya kukosa ruhusa kazini.

Sikua na neno maana bado nilikua kwenye majonzi,baada ya msiba kumalizika nilinza kujisikia homa kali na kulazwa hospitali,baada ya vipimo niligundulika ni Covid 19,

Mungu alisaidia nikaruhusiwa na kuendelea na matibabu nyumban. Wakati naendelea na matibabu mawasiliano na mke wangu yalikua ya tabu sana,simu za zilikua hazipaikan kwa madai mtoto wetu mdogo ameharibu simu yake hivyo ilinibidi niwe namtafuta mama mkwe kuongea na mke wangu

Hali ya kimawasiliano ilizidi kua mbaya zaid kadri siku zinavyozidi kusonga mbele,akawa hanitafuti,mpaka mimi nimtafute yeye, upendo wake kwangu ulikua umepungua sana kwangu. Maana hata kunijulia hali imekua vigumu kwake. Kibaya zaid alinza kufuta account namba yake ya wasapu na kuwa online kupitia Facebook nilivyomuuliza mbona nakuona online ushanunua simu nyingine?alinijibu kua ni ya ndugu yake wanaishi karibu pia namjua huyo mtu.

Nilimuomba namba ya simu anayoitumia ya huyo ndugu yake akanipa. Chaajabu sasa nikipiga ile namba anapokea muhusika wa ile simu na ananimbia yy yuko mbali kidogo na mke wangu.

Hii hali ilinishangaza sana kwan mda ambao nachat na mke wangu Facebook ndo mda huo nimepiga simu baada ya yy kunipa hiyo namba na kaniambia ndo anaitumia kwenye hiyo simu,

Niliendelea kuvumilia hii hali kwakua sikua na jinsi maana bado naendelea na matibabu. Hapa juzi kanitumia ujumbe kupitia Facebook anasema tuachane yy amechoka na maisha ya ndoa hivyo anahitaji kua single,haoni faida ya kua kwenye ndoa. Kwa kwel moyo wangu wote ulikua unawaka moto kwa maumivi makari sana

Kwakua bado naumwa halafu nakutana na changamoto kama hii. Ilinibidi nimtafute kwa kumpigia simu kupitia kwa mama ake akampa simu nikaongea nae.

Nilimuuliza kwan kipi kibaya ambacho nimekufanyia mpaka umefikia maamuz hayo ya kutaka tuachane?alinijibua kua yy amechoka na kudharauliwa hapo kwao maana inaonekama kama mimi nimemdamp tuu hapo kwao,

Nilimuuliza kwan hujui hali yangu ya kiafya kwasasa? Akanijibu kua anajua ila hayo ndo maamuzi aliyaamua kwan kichwa chake hakiko sawa,pia kazin kwake pia hajapandishwa mshahara hivyo hayuko sawa. Baada ya kuniambia hiyo alinikatia simu.

Ifahamike kua kipindi hiki chote ninachoumwa kaja kuniona mara moja tuu mpaka sasa ni mwez umekata hajaja kuniona.
Na mda huu yuko likizo haend kazin.

Naombeni ushauri wenu na mawazao nini nifanye kuinusuru ndoa yangu?hali yangu kiafya bado haija kaa sawa.ndoa inazidi kuniumiza msaada wenu tafadhali.
Mkuu mlazimishe huyo maana haiwezekani akuchezee alafu akuache.
 
Habari wana JF wote kwa ujumla, bila ya kupoteza muda naomba kuja kwenye mada husika. Mimi ni kijana wa miaka 35,ndoa yanagu mpaka sasa inamiaka 5 tuu. Katika kipindi chote hichi tumeishi kwa furaha na upendo mkubwa tumebahatika kupata watoto 2.

Mke wangu ni mtumishi chuo kikuu(mwalimu)na mimi ni unga unga mwana pangu pakavu baada ya kampuni fulani ya mawasiliano niliyokua nafanya kazi kufungiwa na serikali kwa madai ya kukwepa kulipa na kuhujumu uchumi hivyo kesi bado iko mahakamani lakini sijawahi kukosa rizik japo kipato changu ni kidogo ila upendo na furaha viliendelea kushamiri.

KUANZA TATIZO
Mambo yalianza kua mabaya ktk ndoa yangu pale tuu mke wang alivyohamishwa kikazi na kuja hapa Dar ktk chuo kikuu fulani mwaka huu mwez 3 hivyo mimi niliendelea kubaki mkoni kwa lengo la kujipanga ili nihamie dar ili niwe karibu na familia yangu.

Ifahamike kua uhamisho wake haukua wa malipo kutokana na yy ndo aliomba kuhamishwa hivyo alipofika hapa Dar alifikia kwao maana yeye ni mzaliwa wa hapa dar.

Baada ya miezi 2 kupita mimi pia nikatoka mkoani na kuja hapa Dar,ila nilifikia nyumban kwetu kwa wazazi wangu (Mkuranga)
Harakaki za kutafuta nyumba zikaanza,kwa bahati mbaya wakati sijalipia nyumba nikafiwa na mzazi wangu(baba) chakushangaza mke wangu hakuweza kufika msibani kwa madai ya kukosa ruhusa kazini.

Sikua na neno maana bado nilikua kwenye majonzi,baada ya msiba kumalizika nilinza kujisikia homa kali na kulazwa hospitali,baada ya vipimo niligundulika ni Covid 19,

Mungu alisaidia nikaruhusiwa na kuendelea na matibabu nyumban. Wakati naendelea na matibabu mawasiliano na mke wangu yalikua ya tabu sana,simu za zilikua hazipaikan kwa madai mtoto wetu mdogo ameharibu simu yake hivyo ilinibidi niwe namtafuta mama mkwe kuongea na mke wangu

Hali ya kimawasiliano ilizidi kua mbaya zaid kadri siku zinavyozidi kusonga mbele,akawa hanitafuti,mpaka mimi nimtafute yeye, upendo wake kwangu ulikua umepungua sana kwangu. Maana hata kunijulia hali imekua vigumu kwake. Kibaya zaid alinza kufuta account namba yake ya wasapu na kuwa online kupitia Facebook nilivyomuuliza mbona nakuona online ushanunua simu nyingine?alinijibu kua ni ya ndugu yake wanaishi karibu pia namjua huyo mtu.

Nilimuomba namba ya simu anayoitumia ya huyo ndugu yake akanipa. Chaajabu sasa nikipiga ile namba anapokea muhusika wa ile simu na ananimbia yy yuko mbali kidogo na mke wangu.

Hii hali ilinishangaza sana kwan mda ambao nachat na mke wangu Facebook ndo mda huo nimepiga simu baada ya yy kunipa hiyo namba na kaniambia ndo anaitumia kwenye hiyo simu,

Niliendelea kuvumilia hii hali kwakua sikua na jinsi maana bado naendelea na matibabu. Hapa juzi kanitumia ujumbe kupitia Facebook anasema tuachane yy amechoka na maisha ya ndoa hivyo anahitaji kua single,haoni faida ya kua kwenye ndoa. Kwa kwel moyo wangu wote ulikua unawaka moto kwa maumivi makari sana

Kwakua bado naumwa halafu nakutana na changamoto kama hii. Ilinibidi nimtafute kwa kumpigia simu kupitia kwa mama ake akampa simu nikaongea nae.

Nilimuuliza kwan kipi kibaya ambacho nimekufanyia mpaka umefikia maamuz hayo ya kutaka tuachane?alinijibua kua yy amechoka na kudharauliwa hapo kwao maana inaonekama kama mimi nimemdamp tuu hapo kwao,

Nilimuuliza kwan hujui hali yangu ya kiafya kwasasa? Akanijibu kua anajua ila hayo ndo maamuzi aliyaamua kwan kichwa chake hakiko sawa,pia kazin kwake pia hajapandishwa mshahara hivyo hayuko sawa. Baada ya kuniambia hiyo alinikatia simu.

Ifahamike kua kipindi hiki chote ninachoumwa kaja kuniona mara moja tuu mpaka sasa ni mwez umekata hajaja kuniona.
Na mda huu yuko likizo haend kazin.

Naombeni ushauri wenu na mawazao nini nifanye kuinusuru ndoa yangu?hali yangu kiafya bado haija kaa sawa.ndoa inazidi kuniumiza msaada wenu tafadhali.
Usimlazimishe ili uendelee na ndoa hiyo yaheshimu maamuzi yake wewe Pambana utafute pesa . Usimlazimishe hiyo sio riziki Kaka utajipunguzia siku za kuishi labda kama wewe ndio unamtegemea ili uendeshe maisha yako .
 
Tibiwa upone mke kusha kuacha , tafuta pesa owa mwingine ili usiachwe tena sababu ya umaskini tena, ushauri wangu huu ni kupitia yaliyonikuta km wewe najua maumivu ya mke kukuacha inauma ni bora ukimwacha wewe but move on
 
Sababu gan ilimfanya aombe uhamisho kuja Dar?! Hapa ndo mwanzo wa yote
 
Ndio maana sina ndoto ya kuoa na kua na familia, ila ukweli ni kwamba uyo mkeo ashapata mwanaume mwingine mwenye ela na hasa ukizingatia ww kifedha umeyumba basi apo amna kitu, na mtoto wa mjini daslam tena! Achana na uyo mwanamke akutaki Fanya mpango wa kutafuta ela ila kamwe usimsamehe uyo mwanamke maana kesho atarudi tena kwa magoti kuomba msamaha, angalia namna ya kulea watoto wako kwa kadri uwezavyo.

Vivid example ni mm mwenyewe nilikua na mke na mtoto. Mwanamke akaanza tu from no where anataka kuondoka pasi na sababu za msingi kujaribu kufanya kila kitu kumzuia tena tukiwa na wazazi wangu na ndugu zangu akakataaa na maneno machafu kama yote. Nikamuacha akaondoka, ni suala la wiki tu akataka kurudi na kwakua ckumfukuza na amna hoja ya msingi iliomuondoa nyumbani kwangu, kaka nilikataa na ndoa iliishia apo mpaka Leo aamini.

Funzo, mwanamke akidai kuondoka kwako au kuachana bila sababu za msingi yani ujampiga, ujalala nje ya nyumba na ujamnyanyasa kwa lolote, muache aende na kamwe akitaka kurudi usimruhusu muache jumla.
Naomba kuwasilisha.
"Usimrudie aliekuacha atakuchoma kisu kifuani" - Young Killer

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Habari wana JF wote kwa ujumla, bila ya kupoteza muda naomba kuja kwenye mada husika. Mimi ni kijana wa miaka 35,ndoa yanagu mpaka sasa inamiaka 5 tuu. Katika kipindi chote hichi tumeishi kwa furaha na upendo mkubwa tumebahatika kupata watoto 2.

Mke wangu ni mtumishi chuo kikuu(mwalimu)na mimi ni unga unga mwana pangu pakavu baada ya kampuni fulani ya mawasiliano niliyokua nafanya kazi kufungiwa na serikali kwa madai ya kukwepa kulipa na kuhujumu uchumi hivyo kesi bado iko mahakamani lakini sijawahi kukosa rizik japo kipato changu ni kidogo ila upendo na furaha viliendelea kushamiri.

KUANZA TATIZO
Mambo yalianza kua mabaya ktk ndoa yangu pale tuu mke wang alivyohamishwa kikazi na kuja hapa Dar ktk chuo kikuu fulani mwaka huu mwez 3 hivyo mimi niliendelea kubaki mkoni kwa lengo la kujipanga ili nihamie dar ili niwe karibu na familia yangu.

Ifahamike kua uhamisho wake haukua wa malipo kutokana na yy ndo aliomba kuhamishwa hivyo alipofika hapa Dar alifikia kwao maana yeye ni mzaliwa wa hapa dar.

Baada ya miezi 2 kupita mimi pia nikatoka mkoani na kuja hapa Dar,ila nilifikia nyumban kwetu kwa wazazi wangu (Mkuranga)
Harakaki za kutafuta nyumba zikaanza,kwa bahati mbaya wakati sijalipia nyumba nikafiwa na mzazi wangu(baba) chakushangaza mke wangu hakuweza kufika msibani kwa madai ya kukosa ruhusa kazini.

Sikua na neno maana bado nilikua kwenye majonzi,baada ya msiba kumalizika nilinza kujisikia homa kali na kulazwa hospitali,baada ya vipimo niligundulika ni Covid 19,

Mungu alisaidia nikaruhusiwa na kuendelea na matibabu nyumban. Wakati naendelea na matibabu mawasiliano na mke wangu yalikua ya tabu sana,simu za zilikua hazipaikan kwa madai mtoto wetu mdogo ameharibu simu yake hivyo ilinibidi niwe namtafuta mama mkwe kuongea na mke wangu

Hali ya kimawasiliano ilizidi kua mbaya zaid kadri siku zinavyozidi kusonga mbele,akawa hanitafuti,mpaka mimi nimtafute yeye, upendo wake kwangu ulikua umepungua sana kwangu. Maana hata kunijulia hali imekua vigumu kwake. Kibaya zaid alinza kufuta account namba yake ya wasapu na kuwa online kupitia Facebook nilivyomuuliza mbona nakuona online ushanunua simu nyingine?alinijibu kua ni ya ndugu yake wanaishi karibu pia namjua huyo mtu.

Nilimuomba namba ya simu anayoitumia ya huyo ndugu yake akanipa. Chaajabu sasa nikipiga ile namba anapokea muhusika wa ile simu na ananimbia yy yuko mbali kidogo na mke wangu.

Hii hali ilinishangaza sana kwan mda ambao nachat na mke wangu Facebook ndo mda huo nimepiga simu baada ya yy kunipa hiyo namba na kaniambia ndo anaitumia kwenye hiyo simu,

Niliendelea kuvumilia hii hali kwakua sikua na jinsi maana bado naendelea na matibabu. Hapa juzi kanitumia ujumbe kupitia Facebook anasema tuachane yy amechoka na maisha ya ndoa hivyo anahitaji kua single,haoni faida ya kua kwenye ndoa. Kwa kwel moyo wangu wote ulikua unawaka moto kwa maumivi makari sana

Kwakua bado naumwa halafu nakutana na changamoto kama hii. Ilinibidi nimtafute kwa kumpigia simu kupitia kwa mama ake akampa simu nikaongea nae.

Nilimuuliza kwan kipi kibaya ambacho nimekufanyia mpaka umefikia maamuz hayo ya kutaka tuachane?alinijibua kua yy amechoka na kudharauliwa hapo kwao maana inaonekama kama mimi nimemdamp tuu hapo kwao,

Nilimuuliza kwan hujui hali yangu ya kiafya kwasasa? Akanijibu kua anajua ila hayo ndo maamuzi aliyaamua kwan kichwa chake hakiko sawa,pia kazin kwake pia hajapandishwa mshahara hivyo hayuko sawa. Baada ya kuniambia hiyo alinikatia simu.

Ifahamike kua kipindi hiki chote ninachoumwa kaja kuniona mara moja tuu mpaka sasa ni mwez umekata hajaja kuniona.
Na mda huu yuko likizo haend kazin.

Naombeni ushauri wenu na mawazao nini nifanye kuinusuru ndoa yangu?hali yangu kiafya bado haija kaa sawa.ndoa inazidi kuniumiza msaada wenu tafadhali.
Panateketea kwa mkaa au kuni au gesi au umeme wewe kama mmeshindwana nenda maombi ikishindikana tafuta mchepuko inateketea kwani hiyo ni nyumba??
Kama ni nyumba omba msaada zima moto.
Kama ni msitu waombe tanapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom