Old guard
JF-Expert Member
- Dec 15, 2020
- 1,478
- 2,659
Umeoa? Una ndoa? Una Watoto?? Huujui unachosema
Jamaa alichoongea namuunga mkono mm nimeoa lkn huwez niambia mwanamke anitushie kuondoka sijamkosea nimzuie kuondoka et kisa nimemuoa au kisa watoto hapana hata mm pia nahitaj sehem tulivu ya amani nyie ndio mnakufa kwa presha na msongi wa mawazo kisa tu unavumilia ujinga wa mwanamk sababu umezaa nae