kimbweridede
Member
- Jul 11, 2015
- 12
- 19
Habari zenu wana JF,
Mume wangu hajaniomba papuchi miezi mitano now, siku hizi amekuwa bize sana na kuchati katika magrup ya wasap kiasi kwamba hana hata muda wa kuongea either na mimi au mtoto anakaa sebuleni mpaka saa 7 usiku akija room anakuta tulishalala na mtoto saa nyingi. Then Siku nikimgusagusa anageukia ukutani anajifunika gubi asubuhi anaanza kusema oh kichwa kinauma Mara alijisika tumbo linauma yani kama anaua soo hivi.
Niliwahi kumkuta na msg za mapenzi akadai kwamba mimi ni mpekuzi nisimfwatilie kuanzia hapo kaweka simu zake zote password.
Kwa kifupi kawa mkorofi ukitaka kuchat naye anakujibu short hataki maongezi marefu, imefika akitaka kusafiri hata hakuambii utasikia tu anakwambia Leo nitaenda South. Ndoa yetu ina miaka mitatu now lakini nina miaka miwili sijaitwa jina zuri kama mpenzi mke wangu nk achilia mbali kuwa mimi namwita majina mazuri, namfulia, nampasia,nampakia vizuri nk.
Amekua mbinafsi shoping anafanya yake tu na mtoto mimi hata bodyspray hakuna wala hela ya matumizi haachi kwa kuwa ananipa laki na nusu kila mwisho wa mwezi ninunulie kila kitu.
Mimi ni mwanamke mzuri, nina hofu ya Mungu na elimu ya degree ndoivyo tena ajira hamna, nikimwomba hela ya mtaji nifanye biashara anasema hana hela na wakati hela anazo tu na mimi naziona.
Nianyaje ndugu zangu naumia sana kwani tulipendana sana na tulifahamiana vizuri miaka mitatu kabla ya ndoa. Je niachane na hii ndoa nikaishi tu kivyangu maana nimechokwa vibaya kiasi cha kukata tamaa sasa.
Asanteni naomba ushauri utakaobadilisha haya maisha yangu.
Mume wangu hajaniomba papuchi miezi mitano now, siku hizi amekuwa bize sana na kuchati katika magrup ya wasap kiasi kwamba hana hata muda wa kuongea either na mimi au mtoto anakaa sebuleni mpaka saa 7 usiku akija room anakuta tulishalala na mtoto saa nyingi. Then Siku nikimgusagusa anageukia ukutani anajifunika gubi asubuhi anaanza kusema oh kichwa kinauma Mara alijisika tumbo linauma yani kama anaua soo hivi.
Niliwahi kumkuta na msg za mapenzi akadai kwamba mimi ni mpekuzi nisimfwatilie kuanzia hapo kaweka simu zake zote password.
Kwa kifupi kawa mkorofi ukitaka kuchat naye anakujibu short hataki maongezi marefu, imefika akitaka kusafiri hata hakuambii utasikia tu anakwambia Leo nitaenda South. Ndoa yetu ina miaka mitatu now lakini nina miaka miwili sijaitwa jina zuri kama mpenzi mke wangu nk achilia mbali kuwa mimi namwita majina mazuri, namfulia, nampasia,nampakia vizuri nk.
Amekua mbinafsi shoping anafanya yake tu na mtoto mimi hata bodyspray hakuna wala hela ya matumizi haachi kwa kuwa ananipa laki na nusu kila mwisho wa mwezi ninunulie kila kitu.
Mimi ni mwanamke mzuri, nina hofu ya Mungu na elimu ya degree ndoivyo tena ajira hamna, nikimwomba hela ya mtaji nifanye biashara anasema hana hela na wakati hela anazo tu na mimi naziona.
Nianyaje ndugu zangu naumia sana kwani tulipendana sana na tulifahamiana vizuri miaka mitatu kabla ya ndoa. Je niachane na hii ndoa nikaishi tu kivyangu maana nimechokwa vibaya kiasi cha kukata tamaa sasa.
Asanteni naomba ushauri utakaobadilisha haya maisha yangu.