Freddy81
Member
- Feb 3, 2009
- 99
- 3
Mshambuliaji hatari wa timu ya soka ya Yanga, Mrisho Ngassa amepatia jiko. Amemuoa Latifah Abdulhaman. Ndoa ilifungiwa huko Tabata Kisiwani.
Hivi karibuni Ngassa alikuwa nchini Uingereza kufanya majaribio ya kuchezea timu ya West Ham. Habari zinapasha kwamba sehemu ya kwanza ya majaribio hayo ilikwenda vizuri na kwamba kunako majaaliwa Ngassa atarejea tena nchini Uingereza kwa majaribio mengine.
Ninawatakia Mr.& Mrs Ngassa kila la kheri katika ndoa yao.
Lakini Je ataweza kweli kumantain his career.. lakini ana umri gani?
Hivi karibuni Ngassa alikuwa nchini Uingereza kufanya majaribio ya kuchezea timu ya West Ham. Habari zinapasha kwamba sehemu ya kwanza ya majaribio hayo ilikwenda vizuri na kwamba kunako majaaliwa Ngassa atarejea tena nchini Uingereza kwa majaribio mengine.
Ninawatakia Mr.& Mrs Ngassa kila la kheri katika ndoa yao.
Lakini Je ataweza kweli kumantain his career.. lakini ana umri gani?