Kinyonyoke
JF-Expert Member
- Oct 4, 2016
- 3,495
- 13,132
Mambo ni mengi muda mchache
Ndoa ya Muigizaji wa Bongo movies Shamsaford na Chidd Mapenzi imeingia doa, kisa na Mkasa Bado Hakijawekwa Wazi..
Chanzo cha habari Shamsa mwenyewe kama inavyoonekana pichaniView attachment 1099297
Hapa akimjibu shabiki wakeView attachment 1099302
Mbona kule juu kuna mtu kaongea mambo ya cd4Huyu binti juzi kapima live ngoma kwenye kipindi cha Sam misago majibu "negative"naoma alitaka kutuonyeaha mabaharia damu yake safi tujizogeze.
Halafu anajiita MapenziUyo jamaa mbona sura yake ngumu Sana mtaani tunaitaga sura ya vinywaji haichagui spirit au beer.
Huwenda alipita kwenye mitandao hii ya kijamii akaona hayo maelezo ya cd4 na nini,naona ili awaaminishe watu yuko mzima ndio akaomba hicho kipindi cha runinga wafanye nae kipindi huku anacheck na afya live.Mbona kule juu kuna mtu kaongea mambo ya cd4
Wastara na sajukiSidhani kama kuna msanii yeyote hasa wa bongo movies kama amewahi kudumu kwenye ndoa mpaka kifo kiwatenganishe. Binafsi nishawazoea. Kesho na kesho kutwa utasikia kaolewa na Dogo janja halafu baada ya siku 19 utasikia wameachana!
Na usasa zaidi ni media tour. Saiv shamsa busy kwenye media tour kumuanika chid
Baswahili bachovu wa kufikiriPengine uzazi shida labda
Na wababa wenye makelele na visa visivokauka, huwa wanafanana sana na watoto zao. In case the man has gone, he leaves you with the kids who look exactly like him.
.
Better not than a stupid word "I wish"
Swali zurikwahiyo ukihongwa na mwanamke ukatae..?
Mkishatolewa matenga mnachukia wanaume woteBaba yangu kafaga siku nyingi sana .
Hakuwa lelemama alikuwa anatimiza wajibu wake tokea ndani hadi nje.
Sio anahongwa namama yangu mama yangu ndio alikuwa anahongwa na mzee hiyo ndoa inamiaka 55 kabla hajafa kwa maana baba ametendea familia haki .