carter
JF-Expert Member
- Jan 23, 2009
- 3,664
- 4,249
Hebu m-tag warumi atuambie kama ndoa ya uwoya ilikuwepo Au Dogo alipoozwa azuge ameoa? Kwa maslahi ya nani na ili iwe nini atusaidie huyo dada.Hili nalo ni tatizo kwenye ndoa nyingi, sema na hawa ma star hawapendi kuzaa japo wanapenda kuolewa,
Angalia shilole, riyama, uwoya, sister fey hawa wote waliolewa kwa ndoa lakini waligoma kuzaa. Siamini kama wote ni uzazi.