Akhi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2021
- 2,825
- 4,585
kuna dini ishaoba mbali sana na ikaruhusu wake wa4Nilichokipata hapa ni kuwa kumbe inaruhusiwa kutoa talaka kwa mke aliyefanya kosa la kuchepuka tu (Matayo 5:31-32)
Japo Biblia nayo inazingua kwa kusema walioachana waweza kurudiana na wasiachane tena 1 Wakorinto 7:11 (Sasa kulikuwa na haja gani ya kuruhusu Talaka?)
Vitabu vya dini viliandikwa siku nyingi na viliendana na mazingira ya sikuhizo. Kwa sasa idadi ya wanawake ni mara 4 zaidi ya wanaume. Hivyo kwa mazingira ya sasa ni busara sana wanaume waoe wake wengi ili kuwe na uwiano wa haki sawa kwa wote.
Pia kwa kuwa Mungu amekataza kuchumbia mke aliyeachika (Walawi 21:7) basi suluhisho ni kwamba - Mke pasua kichwa asiachwe kwa Talaka kwakuwa hataolewa tena bali mume aruhusiwe kuongeza mke wa pili bila kumuacha mke wa kwanza.
Hivyo ndoa za wake wengi ndio suluhisho sahihi la kukataza kutoa Talaka. Itasaidia wanawake kuanza kuwa na adabu kwa waume zao.
karibuni bhna