MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 9,767
- 21,338
- Thread starter
- #21
Mkuu kwa jinsi ulivyojibu kwa facts huku ukitupia vifungu vya biblia nimeona nisiseme lolote kwa hizi comments zako zaidi ya kukupa heshima. Nimeona nikubaliane kutokukubaliana. Wewe una hoja nzito kwahiyo kwa upande wangu nimeona nisubiri comments nyingine kama hizi zako ili nami nizidi kujifunza na kuchimba zaidi.Hakuna mahali Biblia inapokataza mkristo wa kawaida kuoa mke zaidi ya mmoja. Angalizo limewekwa kwa Askofu na Shemasi hawa ndio wameshauriwa kuwa na mke mmoja, wengine wasio na vyeo hivyo ni ruksa kuwa na mke zaidi ya mmoja. 1 Timotheo 3:1-7 na 1 Timotheo 4:1-5
Ni neno la kuaminiwa; mtu akitaka kazi ya askofu, atamani kazi njema. Basi imempasa askofu awe mtu asiyelaumika, mume wa mke mmoja , mwenye kiasi na busara, mtu wa utaratibu, mkaribishaji, ajuaye kufundisha; si mtu wa kuzoelea ulevi, si mpiga watu; bali awe mpole; si mtu wa kujadiliana,