Kitaalamu kwa mwanamke asiye bikra ili ashike mimba ni lazima ashiriki ngono na mwanaume kwa zaidi ya awamu sita (6) akiwa katika siku zake za hatari......kwahiyo kwa haraka haraka boss kamtomber mke wa jamaa zaidi ya mara kumi na nane (3×6=18) mpaka kumzalisha hao watoto watatu (3) na jamaa yupo yupo tu hana A Wala BeWatoto 3 Duh!
Huyo Mwanamke kiboko, ni Muuaji.....!
Wanawake hawana Mdhamana!
Soma hiii 👇👇👇👇
""Mtumiaji mmoja wa mtandao wa Twitter, Julius Mmasi kutoka Kenya ameweka wazi jinsi rafiki yake alivyovunja ndoa yake iliyodumu kwa muda miaka 24 baada tu ya bwana huyo kuamua kwenda kufanya vipimo vya DNA vya watoto wake wanne na matokeo kuonyesha watoto watatu wa mwanzo si wake.
Vipimo hivyo vilibainisha kuwa mtoto mmoja wa kiume ambaye ni wa mwisho peke yake ndiye mtoto halali wa mwanaume huyo na mabinti watatu wakiwa si watoto wake wa damu. Baadaye mke wake alithibitisha hilo akidai mabinti hao ni watoto wa bosi wake.""
Endeleeni kupenda mateso hayaa....
Ila chakuelewa hapo iliyosababisha yotee hapo ni PESA.
Bosi anatoa mawe anapewa papuchi.
TAFUTA HELA KIJANA.
#YNWA
Watu kila siku wanavuta kwa ajali za barabarani na bado watu wananunua magari kila siku.Soma hiii 👇👇👇👇
""Mtumiaji mmoja wa mtandao wa Twitter, Julius Mmasi kutoka Kenya ameweka wazi jinsi rafiki yake alivyovunja ndoa yake iliyodumu kwa muda miaka 24 baada tu ya bwana huyo kuamua kwenda kufanya vipimo vya DNA vya watoto wake wanne na matokeo kuonyesha watoto watatu wa mwanzo si wake.
Vipimo hivyo vilibainisha kuwa mtoto mmoja wa kiume ambaye ni wa mwisho peke yake ndiye mtoto halali wa mwanaume huyo na mabinti watatu wakiwa si watoto wake wa damu. Baadaye mke wake alithibitisha hilo akidai mabinti hao ni watoto wa bosi wake.""
Endeleeni kupenda mateso hayaa....
Ila chakuelewa hapo iliyosababisha yotee hapo ni PESA.
Bosi anatoa mawe anapewa papuchi.
TAFUTA HELA KIJANA.
#YNWA
Unakua unajihami na mabosi kama wa hii story.Ukizipata hizo hela unaenda kuzi deposit kwenye papuchi ili wahuni wahun wasipate pa kupenya au?
Hawagongi poa...vipi wanao lala na ma house boy una maoni gani
Sio kweli. .mara moja tuu siku ya hatari unaweza kusababisha mimba.. we kaa endelea kuhesabu awamu.Kitaalamu kwa mwanamke asiye bikra ili ashike mimba ni lazima ashiriki ngono na mwanaume kwa zaidi ya awamu sita (6) akiwa katika siku zake za hatari......kwahiyo kwa haraka haraka boss kamtomber mke wa jamaa zaidi ya mara kumi na nane (3×6=18) mpaka kumzalisha hao watoto watatu (3) na jamaa yupo yupo tu hana A Wala Be
Ya kweli haya?Kitaalamu kwa mwanamke asiye bikra ili ashike mimba ni lazima ashiriki ngono na mwanaume kwa zaidi ya awamu sita (6) akiwa katika siku zake za hatari......kwahiyo kwa haraka haraka boss kamtomber mke wa jamaa zaidi ya mara kumi na nane (3×6=18) mpaka kumzalisha hao watoto watatu (3) na jamaa yupo yupo tu hana A Wala Be
Uongo mtupu...Tena uongo uliotukukaYa kweli haya?
Ukiona unaanza kuwaelewa wanawake ujue unakaribia mWatoto 3 Duh!
Huyo Mwanamke kiboko, ni Muuaji.....!
Wanawake hawana Mdhamana!
Yaani mama unataka kufananisha na maumivu ya kukosa usingizi, kukosa appetite, maumivu ya kuwaza na kukoswakoswa na gari, maumivu ya kuona DUNIA nzima imekuhelemea na Ajali..!!Mbona magari yanapata ajali kila siku, wewe umeacha kusafiri.?
Wadogo zetu hawa bwanaa .Kazi ipo
Kwahiyo huyu bahari wa Kenya alichagua mkewe kunyanduliwa ili yeye alee shaw* zisizo zake?Your fact not a fact to everyone
Kama wewe umeamua kutooa wewe then don't drag others to your zone.
Kila mtu na chuguzi zake katika maisha..uswashawishi watu kuchagua chuguzi uliyochagua