IKARAHANSI
JF-Expert Member
- Jul 30, 2019
- 398
- 479
Fedha siyo jibu la kila kitu, Wavulana hawaelewi!!Ninamfahamu jamaa mmoja na apesa zake but kazalishiwa mkewe watoto 2, mzalishaji/baba wa hao watoto ni mfanyakazi wa kawaida kabisa. Mume wa huyo mke ni mfanyabiashara wa madini so si kweli kamba all the time pesa inaamua hatima ya mapenzi yenu.