Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,671
- 40,912
Ndio napingana nao hakuna Urasimu wowote ule ofisi ya mkemia mkuu stori tu za kwenye gahawa hizo.Mkuu unataka kuwabishia watu waliokwamishwa na huu urasimu? Hakuna Nchi yeyote duniani ambayo unahitaji kuwa na mwanasheria ili kuweza kufanya DNA isipokuwa Tanzania na urasimu wake.
Sheria yetu imetoa jukumu hilo kwa,
1. Mahakama,
2. Mawakili,
3. Ustawi wa jamii,
Huyo anayesema kuna urasimu ni muongo.