maguzumunda
Member
- Jan 16, 2017
- 53
- 29
Wanaume wa kinondoni hao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaume wa kinondoni hao.
Kuficha ndo mwanzo wa matatzRafiki yangu alinihadithia mgogori kwenye ndoa yake japo chanzo nilipata kukijua miaka mingi iliyopita! Wakati rafiki yangu akiwa na miaka 19 alipata mtoto na msichana wa mtaani dogo enzi hizo alikubali lkn kumbe yule dada alikua na kadi mbili za clinic.
Baada ya raia kumtonya jamaa akasusa kila kitu na msichana akasepa na mtoto! Baada ya masomo na miaka mingi kupita rafiki yangu akaoa! Miaka mitatu ndani ya ndoa yule mtoto akaibuka na mama yake kumtafuta baba yake! Msimamo wa rafiki yangu ukawa bila DNA sihusiki na huyo mtoto! Kutokana na utata wa awali! DNA Ikafanyika results 99.9999% matching!! Rafiki yangu akaogopa kumwambia wife ambae tayari alikuwa na mimba ya mtoto wa kwanza! Akaona Ngoja amhudumie mtoto kupitia sister wake basi dogo kapiga kitabu na shule za uhakika Hadi mwaka huu anakwenda kuanza chuo kikuu.
Maneno yalikuwa mengi mke wake alisikia kua mumewe ana mtoto mkubwa zaidi ya yule alie naye! Jamaa akiulizwa anakataa kutokana na ukali wa mkewe! Sasa Siri imefichuka na mke anaona maisha yao yote yalitawaliwa na uongo! Anataka kuvunja ndoa!
Anaomba ushauri wenu afanyaje!? Now kijana yupo ana miaka 22 mwaka wa kwanza UDSM.
Acha uhongo mkuu.Kwa zama tulizopo,
Ni aibu sana kwa mwanaume kulilia ndoa,
Ndoa zipo kwa ajili ya kuwasitiri na kuwaheshimisha wanawake,
Wanawake ndio wanapaswa kuzipigania na kuzilinda ndoa zao kwa nguvu zote,
Wee mwanaume kazi yako ni kutimiza tu mahitaji yao ya msingi na ya ziada ili maisha yaende vizuri.
Ukiona mwanaume analia lia kisa ndoa inataka kuvunjika, Jua hamna kitu mule.
MWANAUME MSIMAMO BHANA, HATA KAMA NIMEKOSEA KIASI GANI LIWALO NA LIWE.
Punguza hasira mkuubonge la ndezi.