Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 5,462
- 12,662
Pata... Nione ofisiniElizabeth Michael (Lulu)
Pata... Nione ofisiniElizabeth Michael (Lulu)
Yuko komitedi kwa MajizoKwan kumvua na kumvisha yangu ni dhambi??
Mitano tena.Ikawaje sasa?
Mweh!Mitano tena.
Wapo wengine nimewasahau kidogo majina mmoja ni mtayarishaji wa nyimbo hizi za vijana ni wa kaskazini yule kijana na binti mmoja msanii ni wachumba wanaopendana sana miaka 20 itakuwa imefika,ubwabwa wao huenda bado haujalika.Huu sasa ni uchawi, kumfunga mtoto wa mwenzako asichumbiwe na kumuoa humuoi.
Huu unaitwa uchumba sugu.Nimestuka nkajua sasa hivi kumbe 2018
2017-2018-2019-2020-2021.........
Bado vikao vinaendelea
Professor J na ShaWapo wengine nimewasahau kidogo majina mmoja ni mtayarishaji wa nyimbo hizi za vijana ni wa kaskazini yule kijana na binti mmoja msanii ni wachumba wanaopendana sana miaka 20 itakuwa imefika,ubwabwa wao huenda bado haujalika.
Inasikitisha kwa kweliHuu unaitwa uchumba sugu.
Pesa ndio zinazowaponza haswaa, na ukiangalia status aliyojiwekea kwenye jamii basi anang'ang'ana tu.Inasikitisha kwa kweli
Tatizo bibie nae hawezi fururkuta akondoka pale sababu ya pesaa
Ana haki zote za kuolewa tumwache afaidi na afaudiwe na Allah S.W amjalie watoto kama wote.Naombeni namba nimchangieStori zilizopo kwa sasa huwenda ndoa ya Majey na Lulu ipo mbioni kufungwa mtu wa kwanza kuweka wazi hilo ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda. Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika;
Nikiwa mwenyekiti wa kamati ya harusi ya ndugu Majizo na Bibi Elizabeth Michael(Lulu) nimeupitisha huu wimbo wa Mrisho Mpoto na Harmonize kua ndo wimbo rasmi wa harusi yao, tarehe za harusi endelea kufuatilia 92.5 Dodoma @majizzo @elizabethmichaelofficial
Wimbo aliopitishwa na RC Makonda ni wa Mrisho Mpoto ‘Nimwage Radhi’ ambao amemshirikisha Harmonize.
April 2017 katika mahojiano na gazeti la Mtanzania, Lulu alisema siku za ndoa yake na Majey zinakaribia na karibu tarehe ya ndoa itatangazwa kwa uwezo wa Mungu na hapo ndipo waliotamani waachane wataziba midomo, maana anatarajiwa kuwa mke halali hivi siku za usoni.
Chanzo:Bongo 5
Master J na Shaa.Wapo wengine nimewasahau kidogo majina mmoja ni mtayarishaji wa nyimbo hizi za vijana ni wa kaskazini yule kijana na binti mmoja msanii ni wachumba wanaopendana sana miaka 20 itakuwa imefika,ubwabwa wao huenda bado haujalika.
We naweAna
Ana haki zote za kuolewa tumwache afaidi na afaudiwe na Allah S.W amjalie watoto kama wote.Naombeni namba nimchangie
Kwa tamaa zake pale hata miaka kumi hachomoiPesa ndio zinazowaponza haswaa, na ukiangalia status aliyojiwekea kwenye jamii basi anang'ang'ana tu.
yKuolewa kumeshindikana ivyo mamamtu kagomaHaya kila mtu ana haki ya kuoa na kuolewa,sasa siye ni watazamaji na tunasubiri ubwabwa.
Hadi mkuu wa mkoa tushamsahauNimestuka nkajua sasa hivi kumbe 2018
2017-2018-2019-2020-2021.........
Bado vikao vinaendelea
Hadi mkuu wa mkoa tushamsahau