Ndoa ya kulazimishwa yageuka tamu na yenye baraka

Pytuuu mbaka!.

Bora useme aliliwa na vijana wenzangu lakini siyo mzee wangu!.

Ni laana kubwa na ni watu wanaoheshimiana mno!.
IMG-20210501-WA0005.jpg
 
Niliishia kula mzigo, ijapokuwa hakuwa bikra ila walau chombo hakikua used sana.

Kitu kimoja ninachokiamini ni kuwa, inawezekana usiweze kujitetea sana lakini bidii yako kamwe haitokuacha. Mwezi mmoja na wiki mbili baadae nilipigiwa simu nirudi kazini. Nikalimwa barua ya onyo. Ukweli ni kuwa, mambo mengi yalikuwa hayaendi.
Asante kwa kutunywesha chai Restart
 
Wazazi wa namna hi bado wapo? Anyway, na mabinti wa namna hi pia bado wapo? Mkoa/wilaya gani hiyo mkuu!? Au hi story ya karne ya 20??? Najua mabinti mabikira bado wapo (though hujaligusia hilo ) but kwa life style hi na namna ulivyo oa, mmh; anyway, Tanzania kubwa sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom