Ni mchafue nini sasa tunaongea facts hapa...huko insta kila mtu anapost anavyojisikia....Cynthia wa kuuza samaki. Leo hii??..u dnt knw wat u r talking...n who u r talking too...bora uke kimya...maana hujui unachotetea
Watoto wa Aliko Dangote wanauza kuku na mayai na ndio tajiri namba moja africa im sure hujui fanya kuwa google Bakhresa alianza na lamba lamba tena alikuwa akiuza pekupeku labda na yeye humjui haha hata wewe unaweza anza kuuza karanga wana jf tutakusupport mkuu