Kwa maneno ali quote Mzee wa Rula kama ndiyo unaambiwa wewe kwa kweli maumivu yake ni zadi ya kuchanja chale kwenye kidonda kibichi!!!!!Eti alilazimishwa!!!
Watu wengine bana...HOVYO KWELI!!
Kamtumia kaka wa watu sasa anajifanya hakumpenda na ndoa alilazimishiwa...
Nakubaliana na wewe 100% ndio maana alilazimisha ajifungue kwa kisu kuhofia aibu(kutoa tope wakati wa kupush)
da mjanja kweli...mkaka wa vile halafu hela hamna mbona shughuli!kwa taarifa fupi jamaa mkataba kwishney cyprus na karudi kupiga mechi kwao rwanda,sasa hapo irene atakua anaona michosho bata kwishney
Talaka ni jambo la halali lakini linalomchukiza Allah S.W.[/QUOTE]
LKN si amehalalisha (hapo kwenye red), Hao hawakufunga ndoa bali waliishi pamoja kama mume na mke. Ndoa iliyoruhusiwa na KUBARIKIWA NA MUNGU hakuna kuachana to death
da mjanja kweli...mkaka wa vile halafu hela hamna mbona shughuli![/QUOTE
shosti timu na hela jamaa atapata huko kwao ila sio kihivyo!demu tu kicheche kachemka mapema,
naona alikua anaona ujiko ile uwoya safarini cyprus
sasa saa hii itakua irene safarini kigali kwa mumewe kachomoa kaona hailipi,mweeeh
namskitikia jamaa manake alikua mbogo sana akiambiwa mkeo wanampakua kinyesi huku bongo
anajibu kwa kubana pua'huyo ni muke yangu hawezi kufanya hivo nyinnyi wabongo mutuwache'
hahahahahahahaha mie alikuwaga ananiacha hoi ile mbaya akivuja jasho kumtetea mkewe....huku mkewe uzazi anauachia ile mbaya na kale katoto nasikia ni kamwanaubongo wa fleva mmoja,ngoja tuone hili picha aisee!da mjanja kweli...mkaka wa vile halafu hela hamna mbona shughuli![/QUOTE
shosti timu na hela jamaa atapata huko kwao ila sio kihivyo!demu tu kicheche kachemka mapema,
naona alikua anaona ujiko ile uwoya safarini cyprus
sasa saa hii itakua irene safarini kigali kwa mumewe kachomoa kaona hailipi,mweeeh
namskitikia jamaa manake alikua mbogo sana akiambiwa mkeo wanampakua kinyesi huku bongo
anajibu kwa kubana pua'huyo ni muke yangu hawezi kufanya hivo nyinnyi wabongo mutuwache'
Kwa maneno ali quote Mzee wa Rula kama ndiyo unaambiwa wewe kwa kweli maumivu yake ni zadi ya kuchanja chale kwenye kidonda kibichi!!!!!
Katika yote hili sikuwahi kulijua kuwa demu keshakaa lupango!!!!! Duuuuuuh kumbe hafai hata kwa kulumangia kwa kachumbari.
kwani uwoya sijui uyowa ana umri gani!! Kama umri wa wake ni wa mateenager basi bado ashki za kiutot hazijatoka maana ndoa nazo ni umri..ila paka alozoea kula jalalani hawezi kula kwenye sahani!!