Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
- Thread starter
- #21
Mama D kunguru hapo yupo wazi, ni dhahiri aliyemuacha mwenzake ni Irene na katoa sababu ya kijinga kabisa kwamba hakumpenda kabla na baada ya ndoa!nani kunguru kati yao???
kitanda usicholala hujui kunguni wake!
mambo ya ndoa huwa ni magumu sana.....sipendi kuyaongelea kama siyajui uzuri
Utata uko wapi au unataka ku complicate mambo?