Omary Ndama
JF-Expert Member
- Apr 16, 2017
- 3,367
- 4,056
Kufanya Nini mkuu...unahama kwa Mjeshi bashite...Endelea kuunga doti mkuu si tunatafuta naul za kwenda kisarawe
Kufanya Nini mkuu...unahama kwa Mjeshi bashite...Endelea kuunga doti mkuu si tunatafuta naul za kwenda kisarawe
Ni taarifa ya habari na mshike mshike tukwahiyo sisi wapenzi wa kabumbu ndio basi tena... tuna pata uzoefu mwingine kama tulioupata huku JF... daaah
Kwaio Live Broadcasting ya taarifa ya habari kipindi cha nyuma wakati wanarusha habari ilikua wapo kwenye kipindi cha maangalizi au
Uliwahi kuona tangu toka waanze kurusha vipindi vyao kwenye App kuna siku mtangazaji ameingia kurusha matangazo ya moja kwa moja "Live Broadcasting" kwenye TV?mbona mpira wanaonesha live? Au unamaanisha nini kwenye live broadcasting
Jamani mpira upo palepale watu watatazama.Kwa hiyo kumuona Messi mubashara ni dhambi?
Kwa hiyo watarejea kama kawaida wakirekebisha hilo tatizo??Uliwahi kuona tangu toka waanze kurusha vipindi vyao kwenye App kuna siku mtangazaji ameingia kurusha matangazo ya moja kwa moja "Live Broadcasting" kwenye TV?
Hata haya matangazo ya Mpira Wachambuzi ulikuwa unawaona Studio kama awali?
Naam! Nadhani pande zote mbili zipo kwenye mazungumzo ili kupata uhalali wa kufanya kazi hiyo.Kwa hiyo watarejea kama kawaida wakirekebisha hilo tatizo??
Ndio kutumia App sio kosa ila kwa Television walitakiwa kurusha matangazo ya moja kwa moja kutoka kwingineko sio hapa Tz. Nadhani ni Mauritania kibali chao kilikuwa. (NADHANI NI MAURITANIA) NADHANI!Huko katika app yao taarifa ya habari ipo kama zamani??
MauritiusNdio kutumia App sio kosa ila kwa Television walitakiwa kurusha matangazo ya moja kwa moja kutoka kwingineko sio hapa Tz. Nadhani ni Mauritania kibali chao kilikuwa. (NADHANI NI MAURITANIA) NADHANI!
Mange kaandaa nini kesho???Kesho Tarehe moja mange atatuambia ukweli wote.
Jamani mpira upo palepale watu watatazama.
Ila uendeshaji wa vipindi hautaweza kwenda hewani kupitia TV duh.
Uliwahi kuona tangu toka waanze kurusha vipindi vyao kwenye App kuna siku mtangazaji ameingia kurusha matangazo ya moja kwa moja "Live Broadcasting" kwenye TV?
Hata haya matangazo ya Mpira Wachambuzi ulikuwa unawaona Studio kama awali?
Ndio sheria mpya ya tcra kwa vyombo vya habari ktk kusajiri upya na kupitia leseni ? Nimekuelewa MkuuAzam walitakiwa wawe wazalishaji wa vipindi kwa hapa Tanzania ila leseni ambayo ilikuwa inawapa ruhusa ya kurusha matangazo ya moja kwa moja ilikuwa ya nchi nyingine.
Kuna uzalishaji wa vipindi na urushaji wa vipindi moja kwa moja, vitu hivi ni vitu viwili tofauti.
Nimekuelewa Mkuu. Shukrani sana. Na LIKE nimekupa! Nilidhani kwa kuwa wanamsifia JAMAA, basi hata kama hawana licence, wangepeta tu, yaani kama TWAWEZA vile...! Wakisifia.....!Leseni walionayo haiwaruhusu kufanya live Broadcasting kwa hapa Nchini, leseni yao ya urushaji wa matangazo ya moja kwa moja haikuwa ya hapa Tanzania.
Sijui kama umeelewa.
Likizo inaisha leo,Kesho Terehe 1 analiamsha Dude,alisema 1st August WAKOLOMIJE watapata tabu sana.Mange kaandaa nini kesho???
Azama kuna mkono wa jiwe sio rahisi kujimaliza wenyewe, jiwe limeingiza mkono wake
Nimekuelewa Mkuu. Shukrani sana. Na LIKE nimekupa! Nilidhani kwa kuwa wanamsifia JAMAA, basi hata kama hawana licence, wangepeta tu, yaani kama TWAWEZA vile...! Wakisifia.....!