Chillah
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 8,285
- 8,828
kwahiyo sisi wapenzi wa kabumbu ndio basi tena... tuna pata uzoefu mwingine kama tulioupata huku JF... daaahLeseni walionayo haiwaruhusu kufanya live Broadcasting kwa hapa Nchini, leseni yao ya urushaji wa matangazo ya moja kwa moja haikuwa ya hapa Tanzania.
Sijui kama umeelewa.