Half Genious
JF-Expert Member
- Feb 28, 2017
- 491
- 784
Tangu azam warushe tukio la kupokelewa ndege na baada ya siku chache wakaacha kurisha taarifa ya habari ma badala yake wanaelekeza watu wakaangalia taarifa ya habari kwenye App.
Mwanzo tulidhan ni tatizo la siku moja au mbili lakin sasa linaenda wiki ya pili na wao hawatoi tariifa nyigine zaid ya kusema ipo nje ya uwezo wao kama wachunguzi wa mambo tumeanza kuunganisha dots..
Zamani ilikiwa ni nadra sana serikal iwe na shughuli na azam wasiruke nayo hewan iwe ikulu au wapi mikutano yote ya Rais walikuwa wanarusha live lakin matukio yaliyokea hapa katikati hawajaangaika kurusha live...
Nawaza mengi haswa ukizingatia na aina ya utawala tulionao na mtazamo wao juu ya vyombo vya habari...je wamesimamishwa kurusha habari? Kuna habari iliwakera wakubwa?
Mamlaka zinasemaje mimi nalipia huduma ya king'amuzi halafu napangiwa cha kuangalia naambiwa nikaangalie kwenye App na yaan nilipe huduma mara mbili mbili..!
NB:nazugumzia taarifa ya habari sababu kwa upande wangu ndio taarifa ya habari ambayo ipo live zaid na ina mambo mengi yanazungumzwa kwa kina kuliko wote hali ilimifanya sasa hivi nashindwa kuangalia taarifa za chanel zingine naona maluwe luwe..!
Kwa mwenye kujua kinachoendelea atujuze mimi nimeunganisha dots tu.!
Mwanzo tulidhan ni tatizo la siku moja au mbili lakin sasa linaenda wiki ya pili na wao hawatoi tariifa nyigine zaid ya kusema ipo nje ya uwezo wao kama wachunguzi wa mambo tumeanza kuunganisha dots..
Zamani ilikiwa ni nadra sana serikal iwe na shughuli na azam wasiruke nayo hewan iwe ikulu au wapi mikutano yote ya Rais walikuwa wanarusha live lakin matukio yaliyokea hapa katikati hawajaangaika kurusha live...
Nawaza mengi haswa ukizingatia na aina ya utawala tulionao na mtazamo wao juu ya vyombo vya habari...je wamesimamishwa kurusha habari? Kuna habari iliwakera wakubwa?
Mamlaka zinasemaje mimi nalipia huduma ya king'amuzi halafu napangiwa cha kuangalia naambiwa nikaangalie kwenye App na yaan nilipe huduma mara mbili mbili..!
NB:nazugumzia taarifa ya habari sababu kwa upande wangu ndio taarifa ya habari ambayo ipo live zaid na ina mambo mengi yanazungumzwa kwa kina kuliko wote hali ilimifanya sasa hivi nashindwa kuangalia taarifa za chanel zingine naona maluwe luwe..!
Kwa mwenye kujua kinachoendelea atujuze mimi nimeunganisha dots tu.!
Last edited by a moderator: