golwebo_mkuu
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 2,271
- 688
well well said mpendwa ubarikiwe sana nadhani nimepata somo la kutosha nakumbuka mama mmoja kwenye ktpat alisema"wengi wenu mnaomba mungu awalinde muendako,kazini na mrudi salama nyumbani lkn leo ntawafundisha sala ambayo nayo muhim katika maombi yenu hasa kina mama,mwambie mungu baba naombea chupi ya mume wangu,naitakasa kwa damu yako,anapotoka ktk nyumba hii ivaliwe hapa na ivuliwe hapa tu,kama atavua sehemu nyengine tofauti na nyumbani kwangu basi iwe kwa jili ya haja ndogo au kubwa tu,naikabidhi ikiwa safi niliyoifua mwenyewe naomba irudi safi niifue mwenyewe amina."
singo and not searching!