luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,871
Habarini wadau, kama kichwa cha habari kisemavyo
Siku za ivi karibuni kumekuwepo kwa matukio mengi ya ndoa kuvunjika ilihali zengine zikiwa bado chqnga hata miaka 2 hazija fika.
Ni wazi kushamiri kwa matukio haya kunq dhihirisha uwepo mfinyu wa utayari baina ya wanandoa , utayari una zungumziwa hapa ni kumpokea mwenza wako na mapungufu yake, uwezo wa kusamehe, kuvumilia tabia za mwenzako, utambuzi na kuheshimu ndoa bainanya wana ndoa.
N.B : hakuna takwimu halali zilizotolewa mpaka sasa, hivyo mwandishi anatumia nafharia tu.
Siku za ivi karibuni kumekuwepo kwa matukio mengi ya ndoa kuvunjika ilihali zengine zikiwa bado chqnga hata miaka 2 hazija fika.
Ni wazi kushamiri kwa matukio haya kunq dhihirisha uwepo mfinyu wa utayari baina ya wanandoa , utayari una zungumziwa hapa ni kumpokea mwenza wako na mapungufu yake, uwezo wa kusamehe, kuvumilia tabia za mwenzako, utambuzi na kuheshimu ndoa bainanya wana ndoa.
N.B : hakuna takwimu halali zilizotolewa mpaka sasa, hivyo mwandishi anatumia nafharia tu.