Ndoa ni ushahidi wa kutokuaminiana katika mahusiano

QUOTE=The Finest;2460853]Nakuja leo wala usijali Klorokwin aliazima baiskeli yangu ndio yuko njiani anairudisha
Mbona mwaliko ulikuwa wangu huo aise[/QUOTE]
Mkuu kadi yako iko Mtwara subiri baada ya wiki mbili lol
 
Hahaha!!! Wewe ndio ulinitoroka banaa angalia nanii yako ya mwisho nilisemaje

Nazeeka ukiona hivo....aaaah!
Ngoja niangalie nipate ushuhuda basi...
Electonics zangu leo zina behave funny funny
 
mkioana mpaka mtangazane kwa watu ili kila mtu ajue huyu wa fulan ili ujijue unafahamika,na uogope kutoka nje ya ndoa mpaka kwa kuiba sana,UMUHIMU WA NDOA NI UPI.

Jina lako linanikumbusha kawimbo fulani ka TANGA INTERNATIONAL kanakoimbwa:

Zubeda wa mamaae,
Mimi nakutafuta,
Zubeda u wapieee
Watu wanasema upo city eeee.


 
huo ndo ukweli hakuna mijadala ya ndoa ya kumtisha mtu,upeo mdogo unao wewe unaozeshwa na kutoa TAKRIMA
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom