NDOA NI MAISHA HALISI,UMAKINI WAHITAJIKA

Mkuu umeonge kitu cha maana sana kwani inafikia hatua hadi kijana analala ndani na mwanamke anaenda kujiuza..huo ni uvivu wa hali ya juu sana
 
Mm siwez vumilia aisee..na hapo hamna ndoa tena....
Wanawake nao wanapaswa kuvumilia changamoto za maisha, msiwape kichwa sababu bwana zao wamepatwa na matatizo ya kiuchumi bac wako huru na wanahaki ya kufanya kinyume cha ndoa.. ..ndoa ni iheshimiwe na watu wote....
Wanawake wanamchango mkubwa sana ktk kumfanya baba afanikiwe....kwa hiyo baba anapofell..yeye nae anapaswa kujiuliza...
Mwanamke ni msaidizi, mshauri wa kila kitu kwa mume wake....ndo iko hivyo...hivyo bac si sawa kabisa et kisa jamaa kafulia au umepatwa na matatizo kiuchumi bac ndo inakua kinyume....
Ni kweli usemayo,sisi ni wasaidizi,washauri nk

Lkn kuna wanaume wabishi sijapata kuona,ht mwanamke ajitahidi vipi,amshauri vp mtu haelewi!
 
Kama mimi nililetewa wanaume mpaka ndani. Nimewaachia wanaojua kutunza sasa hivi amenenepa kama mbuyu. Alipokuwa anaishi na mimi alikuwa mwembamba kama sindano eti nashindwa kumtunza jamaa wakaanza kupishana tuu chumbani kwangu nikawaachia rasmi. Jana wamekula x-mas kwa raha bado mwaka mpya.
Hahahaaaa!!
 
Hapana mkuu, yaani comment zako huwa najikuta nacheka tu. Mungu akujaalie hayo maumivu yaishe.
Kumbe mimi ni commedian nisiye jijua ee. Poa basi tuendelee kufurahia maisha yenyewe haya mafupi bhana
 
Mkuu umeongea point sana.

Ila pia maisha yamebadilika sana ili kupiga hatua, upande wa pili yani wanawake lazima wahusike katika kusukuma maisha mbele.

Familia nyingi zimekua successful katika kusomesha watoto wao shule nzuri, kujenga nyumba nzuri na kuanzisha biashara kubwa kwasababu ya team work katika ya mke na mume.

Mwanamke kama ana ajira sharti mshirikiane, maisha ya sasa si ya zama zile.
 
Mungu aliwaleta duniani mzaane muijaze dunia (mumsaidie kufanya alichofanya kwa watu wa kwanza).. Mambo ya ndoa mmeyataka wenyewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom