Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,893
Nitampigia magoti mungu anitoe duniani..Usiombe kukutwa na balaa hili lisikie tu hasa ukiwa kwenye ndoa nazungumzia ukiwa kwenye ndoa ila ukiwa kwenye uzinzi halina maana yoyote ila ukiwa kwenye ndoa acha masiahara wewe..Hakuna ndoa yenye furaha bila mtoto nenda kulia kushoto juu chini hapa tunajifurahisha tu..mti wowote bila kuzaa matunda siyo mti..mtoto ndani ya ndoa nikiunganishi cha maagano..acheni kushabikia uongo kuna anayeoa kwa ajili ya kuangalia angel face...najiuliza tu na ndo maana siku hizi hawaingi kwenye ndoa bila kuzini kwanza na kubebeshana mimba....ebo
mbona kuna mambo mengi tu muhimu katika ndoa....? Akili Unazo! unajisikiaje kama utaachwa na mume/mke kwa sababu huzai.. think twice meen !!!
Najaribu kujiuliza kama tunaochangia hii mada kama tupo ndani ya ndoa au tunazini..