Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
Habari zenu wapenzi wangu woote!
Hivi ni kwa vipi starehe inaweza kuwa kikwazo katika ndoa? Starehe ninazozungumzia hapa ni pombe na club. Inawezekana kwako isiwe starehe ila kwa mwingine ni starehe. Jaribu kufikiria chochote unachopenda kufanya ili kujiburudisha wakati kwa mkeo/mumeo humkwaza ili tuweze kuelewana.
Kwa wanaume mkishaoa inatakiwa muache hivyo vitu? Na kwa wanawake mlioolewa huwa mnakwazika kama mume wako ni mtu wa kwenda mziki kwa sana/pombe au starehe yoyote?.
Imetokea katika familia yetu, uncle wangu ni mtu wa kinywaji kwa sana na hana fujo akilewa pia ni mtu wa mziki, anavuta na sigara. Kwake hizo ndio starehe zake muhimu na watu wote tunazifahamu. Ameoa na ana mtoto mchanga ila ndoa yao haijamaliza hata mwaka. Kabla hawajapata kitoto alikuwa anaenda mziki kwa sana na mkewe ila sasahv mama anabaki uncle wangu anatoka kama kawa kitu ambacho aunt yangu hapendi.
Labda nifupishe stori niende direct kwenye point.
Ningependa tujadili iwapo
1.ni halali kwa mume kuendekeza starehe wakati mke hapendi.
2.ni halali kwa mke kumzuia mumewe kufanya anayoyapenda wakati alishayaona tangu mwanzo na ukakubali kuingia kwenye ndoa.
3. Wote tunajua malezi ni ya pande zote mbili, nikirudi kwenye mfano wa uncle wangu niliowapa napata utata. Kwanini asiache kwenda mziki abaki kulea mtoto!!. Naamini wapo wanaume wengi dizaini ya uncle wangu.
Jamani wapendwa, hivi ninavyoandika aunt yangu kajifungasha karudi kwao. Nashindwa kuelewa nani ana makosa hapo.
Samahanini kwa thread ndefu. Napenda kujifunza kupitia kwa watu kabla hayajanikuta.
Ahsanteni na weekend njema.
Hivi ni kwa vipi starehe inaweza kuwa kikwazo katika ndoa? Starehe ninazozungumzia hapa ni pombe na club. Inawezekana kwako isiwe starehe ila kwa mwingine ni starehe. Jaribu kufikiria chochote unachopenda kufanya ili kujiburudisha wakati kwa mkeo/mumeo humkwaza ili tuweze kuelewana.
Kwa wanaume mkishaoa inatakiwa muache hivyo vitu? Na kwa wanawake mlioolewa huwa mnakwazika kama mume wako ni mtu wa kwenda mziki kwa sana/pombe au starehe yoyote?.
Imetokea katika familia yetu, uncle wangu ni mtu wa kinywaji kwa sana na hana fujo akilewa pia ni mtu wa mziki, anavuta na sigara. Kwake hizo ndio starehe zake muhimu na watu wote tunazifahamu. Ameoa na ana mtoto mchanga ila ndoa yao haijamaliza hata mwaka. Kabla hawajapata kitoto alikuwa anaenda mziki kwa sana na mkewe ila sasahv mama anabaki uncle wangu anatoka kama kawa kitu ambacho aunt yangu hapendi.
Labda nifupishe stori niende direct kwenye point.
Ningependa tujadili iwapo
1.ni halali kwa mume kuendekeza starehe wakati mke hapendi.
2.ni halali kwa mke kumzuia mumewe kufanya anayoyapenda wakati alishayaona tangu mwanzo na ukakubali kuingia kwenye ndoa.
3. Wote tunajua malezi ni ya pande zote mbili, nikirudi kwenye mfano wa uncle wangu niliowapa napata utata. Kwanini asiache kwenda mziki abaki kulea mtoto!!. Naamini wapo wanaume wengi dizaini ya uncle wangu.
Jamani wapendwa, hivi ninavyoandika aunt yangu kajifungasha karudi kwao. Nashindwa kuelewa nani ana makosa hapo.
Samahanini kwa thread ndefu. Napenda kujifunza kupitia kwa watu kabla hayajanikuta.
Ahsanteni na weekend njema.