Ndoa na Mirathi: Nafasi ya Mahakama ya Kadhi kwa Wanawake

Status
Not open for further replies.
Jamani watanzania wote (Christians and Muslims) ambao wako objective wanakubali kuwepo kwa mahakama
ya kadhi. Kikwete na Serikali yake wanakubali kuwepo kwa mahakama ya kadhi.

Kutokana na maelezo ya BR na Topical tumeambiwa kwamba mahakama ya kadhi ni suala la ibada kwa Waislamu.

Hapa ndiyo ugomvi (read kutoelewana kati ya waislamu and other believers kunapoanzia). Iweje basi suala la
Ibada ya Waislamu ligharamikiwe na kodi za wasio waislamu na waislamu? Kama waislamu wanavyopendekeza
mahakama ya kadhi iendeshwe na serikali.

Tunafahamu kodi ya serikali among other things inatokana na vyanzo vingine ambavyo ni haramu according
to dini ya kiislamu e.g pombe/vileo, Casino, mazao yatokanayo na nguruwe, Bank zinazo charge interest etc.
Je kodi hizo haramu ni halali kuendesha mahakama ya kadhi?

Mwisho, je kuna tatizo gani waislamu wenyewe kuendesha hiyo makahama ya kadhi ikizingatiwa kwamba ni suala
la hiari na la kiimani?

Ningependa BR unijibu haya maswali maana majibu ya akina FF na Topical nilishayapata
 
Jamani watanzania wote (Christians and Muslims) ambao wako objective wanakubali kuwepo kwa mahakama
ya kadhi. Kikwete na Serikali yake wanakubali kuwepo kwa mahakama ya kadhi.

Kutokana na maelezo ya BR na Topical tumeambiwa kwamba mahakama ya kadhi ni suala la ibada kwa Waislamu.

Hapa ndiyo ugomvi (read kutoelewana kati ya waislamu and other believers kunapoanzia). Iweje basi suala la
Ibada ya Waislamu ligharamikiwe na kodi za wasio waislamu na waislamu? Kama waislamu wanavyopendekeza
mahakama ya kadhi iendeshwe na serikali.


Tunafahamu kodi ya serikali among other things inatokana na vyanzo vingine ambavyo ni haramu according
to dini ya kiislamu e.g pombe/vileo, Casino, mazao yatokanayo na nguruwe, Bank zinazo charge interest
etc.
Je kodi hizo haramu ni halali kuendesha mahakama ya kadhi?

Mwisho, je kuna tatizo gani waislamu wenyewe kuendesha hiyo makahama ya kadhi ikizingatiwa kwamba ni suala
la hiari na la kiimani?

Ningependa BR unijibu haya maswali maana majibu ya akina FF na Topical nilishayapata

Ndugu yangu,
Asante kunipa heshma kukupatia " msimamo" wangu kupitia nitakayosema.

Kuanzia mwanzo wa thread utagundua msimamo wa BR ni nini:
Kwa kifupi sana
1. Mahakama za Kadhi, ni mkamilisho wa ibada kwa waislam na naunga mkono ziwepo
2. Uanzishaji wake ni bora ufanywe na Waislam wenyewe maana huwezi kuchanganya "najisi" kwenye ibada - zingatia kama ulivyoonyesha kuwa vyanzo vya serikali ni kama kokoro linalobeba kila kitu. Kafir hawawezi kutusaidia kufanya/kukamilisha ibada.


 
Wengi wasiouelewa Uislaam wanaongelea mirathi kama mali tu, mkumbuke na Marehemu akiwa na madeni nayo huwa ni jukumu la warithi kwa hesabu hizohizo.
mfano marehemu ana madeni binafsi ambayo sio ya kampuni. je ni jukumu la kadhi kuhakikisha yale madeni yanalipwa halafu kinachobaki ndio wanagawana watoto wa marehemu au watoto watoto wanarithishwa madeni?

je mtu akifa halafu hamna mali ya kurithi, lakini jamaa anadaiwa je watoto watalazimishwa na kadhi kurithi madeni ya baba yao?
shukran
 
Black Rose,
naomba busara zako, ni kweli kafiri hawezi kutusaidia katika ibada zetu, lakini je, Haki yetu hapaswi kutupatia? Au ni najisi? Kama serkali inatoa mabilioni kwa makanisa (zikiwemo kodi za Waislamu) na wala huduma zitolewazo sio za bure, bali ni business as usual, na shule zao nyingine Kama vile Seminaries ni specific kwa Christians tu, kuna ubaya gani serkali hiyohiyo kugharimia Makama ya Kadhi? Kama ni unajisi wa source ya funds za serikali, je tuna hakika sadaka na michango yote itolewayo kujenga na kuendesha misikiti vyanzo vyake ni halali?
 
Ndugu yangu,
Asante kunipa heshma kukupatia " msimamo" wangu kupitia nitakayosema.

Kuanzia mwanzo wa thread utagundua msimamo wa BR ni nini:
Kwa kifupi sana
1. Mahakama za Kadhi, ni mkamilisho wa ibada kwa waislam na naunga mkono ziwepo
2. Uanzishaji wake ni bora ufanywe na Waislam wenyewe maana huwezi kuchanganya "najisi" kwenye ibada - zingatia kama ulivyoonyesha kuwa vyanzo vya serikali ni kama kokoro linalobeba kila kitu. Kafir hawawezi kutusaidia kufanya/kukamilisha ibada.

Kwa msimamo wako huu Bibie BR we are sailing the same boat. Na haya ndiyo yamekuwa maoni yangu
ya siku zote kwa ndugu zangu waislamu. Labda BAKWATA wanaweza kuyasikiliza kwasababu yanatoka
kwa muumini mwenzao na sio Kafir.
 
Black Rose,
naomba busara zako, ni kweli kafiri hawezi kutusaidia katika ibada zetu, lakini je, Haki yetu hapaswi kutupatia? Au ni najisi? Kama serkali inatoa mabilioni kwa makanisa (zikiwemo kodi za Waislamu) na wala huduma zitolewazo sio za bure, bali ni business as usual, na shule zao nyingine Kama vile Seminaries ni specific kwa Christians tu, kuna ubaya gani serkali hiyohiyo kugharimia Makama ya Kadhi? Kama ni unajisi wa source ya funds za serikali, je tuna hakika sadaka na michango yote itolewayo kujenga na kuendesha misikiti vyanzo vyake ni halali?
Nani kakuambia shule za seminary zinapata ruzuku kutoka serikalini? Acha kupotosha watu!
 
Mie siungi mkono kuanzishwa mahakama ya kadhi kwakua sina shida nayo na nimeishi vizuri bila kuwepo.lkn naona wanayoitaka ianzishwe chini ya mfumo wa serikali wana hoja.

wanaweza kuiendesha kwa pesa zao n tartibu zao kama mbavyo wanavyosuluhisha ndoa sasa makanisa na bakwata nje ya mfumo wa mahakama.

tabu itakuja pale mtu anapokaidi wito au maamuzi ya mahakama halali nje ya mfumo wa kiserikali atajibishwa je. sheria zetu mtu anaweza kufugwa akishidwa kulipa deni je waislamu watamfunga wapi mtu aliyekula mali za yatima kama serkali haitambui mahakama ilosema kama kala mali za yatima .

MIE NAONA KODI ZA UENDESHAJI SIO ISHU ILA NI NGUMU KUTEKELEZA SHERIA NJE YA MFUMO WA SERIKALI KWANI, MTU HATAFUATA MAAMUZI YA MAHAKAMA NA HAKUNA WA KUMFANYA KITU LBD SIKU YAKUKUTANA NA MUUMBA.

Akikataa maamuzi ya mahakama ya qadi, basi! Allah yupo atamtupa jehannam! Hatoki humo., Au!
 
Nani kakuambia shule za seminary zinapata ruzuku kutoka serikalini? Acha kupotosha watu!
Kwani mabillioni ya kodi zetu inayopewa Makanisa ni ya kugharimia nini? Mishahara ya Mapadre au? Mi sielewi vizuri hebu nijuze mwenzangu, I could be wrong!
 

Sweke,
nimeusoma uzi, lakini mbona naona imenenwa kuwa fedha hizo ni kwa ajili ya "Social services" kisha ikaStipulate further kuwa ni "Health and Education" sasa kwa kuwa Seminaries zinafall katika Category ya "Education services of The Church" nimekosea nini kuAssume kuwa nazo ni beneficiaries? Sasa kwanini kusiandikwe MoU ya Mahakama ya Kadhi kwani nayo pia ni "Social Services." jamani ndugu zetu Wakristo tunawapenda sana lakini mbona mnakuwa hivi? Kila chenye manufaa kwetu hamkitaki, Mahakama ya Kadhi hamuitaki, Kujiunga na OIC hamtaki, mwishowe mtakataa tusiende kuhiji pia, mtasema ni upotevu wa fedha za kigeni, hivi tukiamua kwamba basi, enough is enough, liwalo na liwe, patatosha kweli hapa, au uvumilivu wetu umnautafsiri kuwa ni udhaifu?
 
Black Rose, many thanks kwa hii shule pevu.

Tangu nianze kusoma threads JF zenye mada kuhusu imani, hii thread iko kwenye league yake.

Dada, unavojibu na kutoa hoja your represent the best. Kwa kweli nimefurahi sana na NIMEJIFUNZA mengi sana kuhusu uislamu. I WISH watu kama nyinyi ndo mngekuwa mnatuelezea kuhusu hii dini ambayo wengi hatuielewi!

Mimi ni Mkristo. Ila dada yangu anayenifuata ni muislamu tena wa 'swala tano'. Ndo maana nikiona mijadala ya dini humu naikimbia kwa sababu watu wanatema chuki tuu ya 'sisi' na'wao'. Yet kusoma mjadala na mabandiko ya Black Rose, unapata perspective tofauti.

Asante sana Black Rose na nikutakie sikukuu na mwaka mpya wenye heri na mafanikio.
 
msipende ligi za bure. Kausome uuelewe. Kila kitu kipo clear

Sweke,
nimeusoma uzi, lakini mbona naona imenenwa kuwa fedha hizo ni kwa ajili ya "Social services" kisha ikaStipulate further kuwa ni "Health and Education" sasa kwa kuwa Seminaries zinafall katika Category ya "Education services of The Church" nimekosea nini kuAssume kuwa nazo ni beneficiaries? Sasa kwanini kusiandikwe MoU ya Mahakama ya Kadhi kwani nayo pia ni "Social Services." jamani ndugu zetu Wakristo tunawapenda sana lakini mbona mnakuwa hivi? Kila chenye manufaa kwetu hamkitaki, Mahakama ya Kadhi hamuitaki, Kujiunga na OIC hamtaki, mwishowe mtakataa tusiende kuhiji pia, mtasema ni upotevu wa fedha za kigeni, hivi tukiamua kwamba basi, enough is enough, liwalo na liwe, patatosha kweli hapa, au uvumilivu wetu umnautafsiri kuwa ni udhaifu?
 
MgungaMiba said:
nimeusoma uzi, lakini mbona naona imenenwa kuwa fedha hizo ni kwa ajili ya "Social services" kisha ikaStipulate further kuwa ni "Health and Education" sasa kwa kuwa Seminaries zinafall katika Category ya "Education services of The Church" nimekosea nini kuAssume kuwa nazo ni beneficiaries?
MgungaMiba said:
Sasa kwanini kusiandikwe MoU ya Mahakama ya Kadhi kwani nayo pia ni "Social Services." jamani ndugu zetu Wakristo tunawapenda sana lakini mbona mnakuwa hivi? Kila chenye manufaa kwetu hamkitaki, Mahakama ya Kadhi hamuitaki, Kujiunga na OIC hamtaki, mwishowe mtakataa tusiende kuhiji pia, mtasema ni upotevu wa fedha za kigeni, hivi tukiamua kwamba basi, enough is enough, liwalo na liwe, patatosha kweli hapa, au uvumilivu wetu umnautafsiri kuwa ni udhaifu?



MgungaMiba,

..kuna thread ambapo nilitoa wazo kama lako, kwamba Waislamu waanzishe mahakama ya Kadhi halafu waandikishe MOU na serikali ili iweze kupata funds za kuiendesha.

..sasa kuna wachangiaji Waislamu walipingana na hoja hiyo wakidai kwamba ni lazima mahakama ya KADHI itumbukizwe ktk KATIBA ili hukumu zake ziweze kuwa enforced na DOLA.

..ukitumbukiza mahakama ya Kadhi ktk katiba basi hata wasio wa Islamu wanakuwa na mamlaka ktk kuamua utendaji kazi wa mahakama hiyo. ukizingatia kwamba Waislamu wanadai mahakama hiyo ni sehemu ya IBADA nadhani suala hilo linaweza kutuletea mtafaruku mbele ya safari.
 
Black Rose,
naomba busara zako, ni kweli kafiri hawezi kutusaidia katika ibada zetu, lakini je, Haki yetu hapaswi kutupatia? Au ni najisi? Kama serkali inatoa mabilioni kwa makanisa (zikiwemo kodi za Waislamu) na wala huduma zitolewazo sio za bure, bali ni business as usual, na shule zao nyingine Kama vile Seminaries ni specific kwa Christians tu, kuna ubaya gani serkali hiyohiyo kugharimia Makama ya Kadhi? Kama ni unajisi wa source ya funds za serikali, je tuna hakika sadaka na michango yote itolewayo kujenga na kuendesha misikiti vyanzo vyake ni halali?


Bold Nyeusi:
Hebu fafanua zaidi muktadha wa hiyo haki.

Nimejaribu sana kudodosa kuhusu hii MoU inayojadiliwa, bahati mbaya sijapata nakala yake.Nilichopata kutokana na kauli ile ya Mh.Rais ni kama vile waislam nao hawajakatazwa kusaini MoU na Serkali.Sasa kama milango iko wazi, kwanini hatutumii hiyo fursa na badala yake tunalumbana tu?

Binafsi ninavyoona, hatujachelewa.Tujaribu na kama tutaona hatusikilizwi na Serikali basi tudai "haki" hiyo kwa nguvu zote. Kwani ni ajabu serikali kusaini MoU na taasis nje ya serikali? Nadhani tunge explore options zote ndipo tudai support kwa lazima.

Bold Nyekundu: Mbona unanikwaza ? Nikidhani madai ya mahakama ya Kadhi ni kusudi tukamilishe ibada. Toka mwanzo nimekuwa nauliza " moral legitimacy " ya kudai mahakama ya kadhi na baadhi ya wachangiaji ( eg Topical na wengine) wakajibu ni kusudi kukamilisha matakwa ya Sharia.Sasa kama tutakuwa hatujali vyanzo halali vya mapato au mafungu ya kuanzisha nadhani tunakosa uhalali ule wa mwanzo.Tukichukua njia hiyo, tutadhihirisha hakika kwamba nia ya kuanzisha hivi vyombo ni "kukomoana" na siyo ibada.Tutakuwa tuna defeat argument yetu ya mwanzo.Nadhani lets stick to arguments zetu za "uhalali".Tusichanganye MoU for social services,ambazo zinaruhusu kuhudumia watu wa imani zote na establishment ya vyombo purely vya waislam.
 
- People hivi karibuni nilipata bahati ya kuongea na Kiongozi mmoja Mkuu sana wa Serikali ya sasa. Tulikuwa tunajadili ishu ya Mahakama ya Kadhi.

- Mkuu akanielezea jinsi maajabu makubwa yaliyotokea Bungeni ishu ilpolepelekwa, I mean for the first time Wabunge wakawa hawana Vyama na very emotional anasema upande mmoja kulikuwa na Missanga na Mundhihir na the CUFs na huku kuna Mwakyembe na wengine!

- Anasema ilikuwa ni Mh. Zitto bila kujali Dini yake, aliyeokoa jahazi, kwa kweli kwa hilo Mungu akuzidishie sana Mheshimiwa na you have my respect.

MUNGU AIBARIKI TANZANIA!

Le Baharia William @..New York City, USA
 
Mimi sijaelewa wala kupata chochote hapa!

@NYC sijui anataka tuelewe nini hapa!

Lol
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom