madam laden
Member
- Apr 20, 2019
- 30
- 32
Ni matumaini yangu mu wazima....
Mimi ni mwanamke, 30s nipo kwenye Ndoa mwaka wa tatu na nina mtoto mmoja... Tatizo ni kuwa sina hamu kabisa ya tendo la Ndoa, yani sitak hata kusikia.
Mume wangu huwa anapenda sana huu mchezo wa wakubwa hali ilyopelekea ugomvi kila siku, basi sometimes najilazimisha ili mradi tu Mambo yaende,..
Cha kushangaza huu mwezi wa pili unaisha hatuna tena ugomvi wala hanianzi wala kuzungumzia habar za sex.
Imeibid akili ikae sawa, vinginevyo hapa naona kabisa ndoa iko mashakani,,,, katika tafuta ufumbuzi nimeshauriwa kutumia dawa inaitwa Spanish Fly Pro.
Naomba kwa anayejua wapi naweza ipata na bei yake au pia suluhisho mbadala.
Natanguliza shukrani.
Napatikana Dar
Mimi ni mwanamke, 30s nipo kwenye Ndoa mwaka wa tatu na nina mtoto mmoja... Tatizo ni kuwa sina hamu kabisa ya tendo la Ndoa, yani sitak hata kusikia.
Mume wangu huwa anapenda sana huu mchezo wa wakubwa hali ilyopelekea ugomvi kila siku, basi sometimes najilazimisha ili mradi tu Mambo yaende,..
Cha kushangaza huu mwezi wa pili unaisha hatuna tena ugomvi wala hanianzi wala kuzungumzia habar za sex.
Imeibid akili ikae sawa, vinginevyo hapa naona kabisa ndoa iko mashakani,,,, katika tafuta ufumbuzi nimeshauriwa kutumia dawa inaitwa Spanish Fly Pro.
Naomba kwa anayejua wapi naweza ipata na bei yake au pia suluhisho mbadala.
Natanguliza shukrani.
Napatikana Dar