Ndoa ipi itasalimika kati ya hizi?

Mtama

Member
Nov 8, 2010
63
0
Kwenye ndoa kuna vibweka sana,ndoa ikiwa haina mtoto utasikia ooh ndoa haijajibu,mara mwanaume hajui shughuli,mara mawifi nao wanakuja juu wakidai wifi yao mgumba,mara mashemeji nao wanakuja juu wakidai shemeji yao hana uwezo wa kumpa ujauzito dada yao mara ndoa pwaaaaa!!!!Upande wa pili nako vituko,ndoa ikipata mtoto,utasikia mume analalama mkewe hamjali anamjali mtoto tu,kesho jamaa analalama mkewe kawa mchafu anuka maziwa ya mtoto masaa 24,mara ndani hapasafishwi minguo ya mtoto imezagaa mpaka bafuni,jamaa anaamua kutafuta kipozeo nje,mama mtoto anagundua mara ndoa pwaaaaa!!!!KIPI NI KIZURI????
 
binadamu tumeumbwa na tamaa na huwa haturidhiki na mara nyingi mambo kama haya hupelekea kkukimbiza baraka za ndoa zetu nimeshaona ndoa za aina zote mbili ulizotaja hapo kusalimika kwao sio kuingiza third part ni wao wenyewe kuamua na kukubali na kuamini yote Mungu anatoa na kumshukuru kwa yale aliyowabariki ivi tumeshawahi kujiuliza kuna ndoa hazijajaliwa kupata mtoto hata mmoja lakini wamebarikiwa kuwa na uwezo wa juu sana kifedha,elimu, hata kazi na wengine wamebarikiwa watoto lakini wanastruggle sana kutunza hawa watoto ivi huwa tunahesabu baraka zetu na kuzitumia kwa ajili ya wengine au wakati wote kwetu ni wakati wa kulalamika tu naamini kila jambo linalotokea chini ya jua lina sababu na ndio linakufanya uwe wewe na kufikiria zaidi yajayo yale tunayopitia na kusimama imara hutufanya siku moja tuonekani watu wenye uwezo mkubwa kimaamuzi na kuheshimika kwenye jamii.
 
Kwenye ndoa kuna vibweka sana,ndoa ikiwa haina mtoto utasikia ooh ndoa haijajibu,mara mwanaume hajui shughuli,mara mawifi nao wanakuja juu wakidai wifi yao mgumba,mara mashemeji nao wanakuja juu wakidai shemeji yao hana uwezo wa kumpa ujauzito dada yao mara ndoa pwaaaaa!!!!Upande wa pili nako vituko,ndoa ikipata mtoto,utasikia mume analalama mkewe hamjali anamjali mtoto tu,kesho jamaa analalama mkewe kawa mchafu anuka maziwa ya mtoto masaa 24,mara ndani hapasafishwi minguo ya mtoto imezagaa mpaka bafuni,jamaa anaamua kutafuta kipozeo nje,mama mtoto anagundua mara ndoa pwaaaaa!!!!KIPI NI KIZURI????

Binadamu wote hawaridhiki
 
Kwenye ndoa kuna vibweka sana,ndoa ikiwa haina mtoto utasikia ooh ndoa haijajibu,mara mwanaume hajui shughuli,mara mawifi nao wanakuja juu wakidai wifi yao mgumba,mara mashemeji nao wanakuja juu wakidai shemeji yao hana uwezo wa kumpa ujauzito dada yao mara ndoa pwaaaaa!!!!Upande wa pili nako vituko,ndoa ikipata mtoto,utasikia mume analalama mkewe hamjali anamjali mtoto tu,kesho jamaa analalama mkewe kawa mchafu anuka maziwa ya mtoto masaa 24,mara ndani hapasafishwi minguo ya mtoto imezagaa mpaka bafuni,jamaa anaamua kutafuta kipozeo nje,mama mtoto anagundua mara ndoa pwaaaaa!!!!KIPI NI KIZURI????

Kumbuka Indra Gandhi alovyosema & I quote " GOD CREATED THE EATH WITH EVERYTHING THAT CAN MAKE A HUMAN CREATURE ENJOY A GOOD LIFE, BUT GOD CREATED NOTHING FOR HUMAN DESIRES' hizi nafsi bora zingeondolewa labda tungeishi kwa amani
 
km mapenz nehi kati ya zote hazidumu
km wanapendana apo hakuna itakayovunjika
 
kutopata mtoto siyo chanzo cha kuachana huenda kama kuna sababu na hiyo kuchangia kuachana, cha msingi hapa ni uvumilivu na uaminifu mtafika mbali lakini ukianza kuwasikiliza madada, wifi,mama,shemeji ndio utavimba kichwa na kuacha mke wako, na hii ya uchafu wa mtoto hata wewe ulikuwa mtoto na ulikuwa mchafu ivoivo hili siyo jambo la kuacha mke hata kidogo !
 
Kwenye ndoa kuna vibweka sana,ndoa ikiwa haina mtoto utasikia ooh ndoa haijajibu,mara mwanaume hajui shughuli,mara mawifi nao wanakuja juu wakidai wifi yao mgumba,mara mashemeji nao wanakuja juu wakidai shemeji yao hana uwezo wa kumpa ujauzito dada yao mara ndoa pwaaaaa!!!!Upande wa pili nako vituko,ndoa ikipata mtoto,utasikia mume analalama mkewe hamjali anamjali mtoto tu,kesho jamaa analalama mkewe kawa mchafu anuka maziwa ya mtoto masaa 24,mara ndani hapasafishwi minguo ya mtoto imezagaa mpaka bafuni,jamaa anaamua kutafuta kipozeo nje,mama mtoto anagundua mara ndoa pwaaaaa!!!!KIPI NI KIZURI????

:becky::becky::becky::becky::becky:
 
Back
Top Bottom