brenda18
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 5,687
- 5,268
Kitu ambacho wanawake hatukielewi mchepuko hawezi kukuoa kamwe!
Sasa kama hawezi kukuoa ya nini kuweka ndoa yako kwenye matatizo?!
Lakini sasa sisi tukichepuka tumemaanisha tunaenda kwa feelings haswa