Ndoa imenishinda. I need prayers

Mwenzako alikutwa na KY sasa haijulikani anawapakaa au anapakwa yeye! Ila mke yupo ktk uchunguzi na ndio kwanza kamzidishia mahaba..nahisi ni mtego

Unapoamua kuoa maana yake maisha ya u bachela unawaachia wengine, matatizo mengine ni ya kujitakia mkuu. Hauwezi shindana na mwanamke hata siku moja, unampa mazingira ya kumfanya nayo aote kengere utayeteseka ni wewe siku za usoni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom