Ndoa imekua ni vita nife nalo au niwaambie wakwe?

JITU LA MIRABA MINNE

JF-Expert Member
Mar 28, 2015
726
471
Nisiwachoshe,

Ni miaka miwili toka nioe bint toka Tanga,nilijuana nae nikiwa Mwanza yeye yupo chuo fulani cha ualimu mm nikiwa kwenye shughuli zangu ktk NGO,S moja jijini hapo, alionesha ni mcha Mungu tulianzisha mahusiano lakini sikua na lengo nae lakini kadri tulivyoendelea na mahusiano alikua ameficha makucha huku akilalamikia wanaume huwa ni waongo mara hapendi kuchezewa basi nikaona ni malaika wa kuishi nae tukaenda kupima nikawa nakula kama kawaida tulipozoeana alianza kubadilika anakua mkali,mtu wa commanding nikajua atajirekebisha akatulia mwaka 2014 tukafunga ndoa hapo ndipo nilipoanza kuona rangi ya huyu binti ana rangi gani.

Amekua mtu wa kulalamika mlalamishi hata mambo ya kawaida,wivu wa kijinga hata nikiongea na mtu anajudge hata kanisani,katika maisha ya kawaida anapenda kujibizana na mm,akikosea hawezi kuomba msamaha,anapenda kususa hovyo, amekua mtu wa commanding,anachokitaka kifanyike,majibu ya hovyo mbele wa dada wa kazi, tukidiscuss jambo ambalo linatakiwa tufanye maamuz ananiambia wewe si ndio baba fanya utakavyo halaf sasa nikiwasiliana na mzazi wa kike mama akinishauri jambo basi hununa sana na kusema ndoa inaongozwa na mama ,yaani ni mtu wa hasira hasira mda wote mara nikirud kanuna tu,nikiumwa hatilii maanani.,halafu ni mvivu sana wa kazi hata kufagia usafi wa nje ya nyumba kidogo kachoka hata kulima ka bustani tu kushika jembe tu hawezi na mm mtu mvivu nipo tofauti nae sana yaan yupo weak sana

Juzi nimerudi kichwa kinauma nina mawazo mambo yangu ya chuo na mengine anayoniletea yeye akaanza mara mbona nimemkasirikia nikamwambia sijamkasirikia ila nina msongo wa mawazo akasema hawezi kuishi maisha ya hapa mara anahisi nina mwanamke na akasema anaondoka na leo jion kaondoka nimemuuliza dada wa kazi ameniambia amesema anaenda mjini
sasa naombeni ushauri mm huyu nimechoka nimeongea habadiliki kwa chochote anataka kuwa na sauti kunizidi mm,

Je niwape taarifa nyumbani kwa huyu bint niwasimulie yote
au niwaambie na nyumbani kwetu habari zake naombeni ushauri wenu na je kama ameamua kulala nje kuna haja ya kumkaribisha tena kuwa mke?au nikae kimya moja kwa moja au nimpe displine gani itakayo mfanya atambue thamani ya mume tafadhalini ushauri wenu ni muhimu sana

BACKGROUND
Amelelewa katika maisha ambayo hakuoneshwa upendo sana alikua anaishi na wazazi wake na bibi yake jirani mzaa baba ,bibi huyo ni mshirikina na amekua akiwachezea toka mdogo na hata kwenye ufungaji ndoa bibi yule alifanya vimbwanga ili ndoa isifungwe lkn ilishindikana hapo ni sendoff kwanza baadae alifatilia harusi itafungwa wapi akaharibu kumkomoa akashindwa bint aklipokua mjamzito akaahidi kumkomoa akachukua mchanga wa mguu alipokanyaga na kuahidi zamu hii anammaliza atamtambua yeye ni nani ....
bint alikua mtu wa maombi hivyo alikua kati ya watoto wote ndio alikua anapigwa sana vita na bibi kiufupi familia yote bibi ameivuruga je hapo hio picha mnaionaje na vp kuhusu watoto wangu watapoenda kutembelea ndugu
kwa kweli usalama hapo sijui katika maisha yangu mambo ya ushirikina sijawah kuyaona lakin stori za huyu mke ni kuzungumzia mambo hayo tu yanayotokea kwao full ushirikina
 
Nisiwachoshe
Ni miaka miwili toka nioe bint toka Tanga,nilijuana nae nikiwa Mwanza yeye yupo chuo fulani cha ualimu mm nikiwa kwenye shughuli zangu ktk NGO,S moja jijini hapo,
alionesha ni mcha Mungu tulianzisha mahusiano lakini sikua na lengo nae lakini kadri tulivyoendelea na mahusiano alikua ameficha makucha huku akilalamikia wanaume huwa ni waongo mara hapendi kuchezewa basi nikaona ni malaika wa kuishi nae tukaenda kupima nikawa nakula kama kawaida tulipozoeana alianza kubadilika anakua mkali,mtu wa commanding nikajua atajirekebisha akatulia mwaka 2014 tukafunga ndoa hapo ndipo nilipoanza kuona rangi ya huyu binti ana rangi gani,amekua mtu wa kulalamika mlalamishi hata mambo ya kawaida,wivu wa kijinga hata nikiongea na mtu anajudge hata kanisani,katika maisha ya kawaida anapenda kujibizana na mm,akikosea hawezi kuomba msamaha,anapenda kususa hovyo, amekua mtu wa commanding,anachokitaka kifanyike,majibu ya hovyo mbele wa dada wa kazi,tukidiscuss jambo ambalo linatakiwa tufanye maamuz ananiambia wewe si ndio baba fanya utakavyo halaf sasa nikiwasiliana na mzazi wa kike mama akinishauri jambo basi hununa sana na kusema ndoa inaongozwa na mama ,yaani ni mtu wa hasira hasira mda wote mara nikirud kanuna tu,nikiumwa hatilii maanani ,juz nimerud kichwa kinauma nina mawazo mambo yangu ya chuo na mengine anayoniletea yeye akaanza mara mbona nimemkasirikia nikamwambia sijamkasirikia ila nina msongo wa mawazo akasema hawezi kuishi maisha ya hapa mara anahisi nina mwanamke na akasema anaondoka na leo jion kaondoka nimemuuliza dada wa kazi ameniambia amesema anaenda mjini
sasa naombeni ushauri mm huyu nimechoka nimeongea habadiliki kwa chochote anataka kuwa na sauti kunizidi mm,
je niwape taarifa nyumbani kwa huyu bint niwasimulie yote
au niwaambie na nyumbani kwetu habari zake
naombeni ushauri wenu na je kama ameamua kulala nje kuna haja ya kumkaribisha tena kuwa mke?au nikae kimya moja kwa moja au nimpe displine gani itakayo mfanya atambue thamani ya mume tafadhalini ushauri wenu ni muhimu sana



BACKGROUND
Amelelewa katika maisha ambayo hakuoneshwa upendo sana na bibi yake alikua mshirikina na amekua akiwachezea toka mdogo na hata kwenye ufungaji ndoa bibi yule alifanya vimbwanga ili ndoa isifungwe lkn ilishindikana hapo ni sendoff kwanza baadae alifatilia harusi itafungwa wapi akaharibu kumkomoa
sijaelewa, yaani bado upo chuo, na umeoa mwanamke tena wa tanga? unataka kufaulu wewe au ni limbukeni? nahisi future yako ipo hatarini.
 
Kwa maono yangu hapo kaka bado wampenda huyo. Hapo huwezi shaurika ni wwe mwenyewe uamue mkuu. Ila angalia kaka samaki mkunje. Kama hujawahi kumwonya kwa vitendo hawezi tikisika hata kidogo. Ila kama ni mimi kaka kutoka tu nyumbani bila taarifa ni kosa la jinai sembuse kulala nje. Jaribu kufikiri baadae itakuaje kabla hujafanya maamuzi coz linaweza kuja kukuumiza mwenyewe. Kwan mnawatoto?
 
Kuish na mke inahtajika weledi na ukomavu kiakili zaidi uwe umejiandaa kisaikolojia, mambo ya ndani si vizuri kuyatangaza ivi kiufupi na sisi tunayakwetu, maisha sio maigzo jamaa ila kwa kuwa ushakuja huku nimegundua huna hata rafki wa kukushauri cha kufanya mvumilie atajirekebisha jtahd umwambie unataka umwone akifananaje na uksimamie unachomweleza ujtahd kukiish vngnevyo utakuwa unataka uishi maisha ya kwenye SINEMA
 
Lifikishe kwa watu wenye busara not necessarily wawe wazaz wa either of the side na kama ni muhimu fikisha kwa wazaz wake sio wa kwako
Nahis kama bib kamtengeneza vile inaweza isiwe akili yake
 
ila inasemekana mwanamke mwenye wivu mara nyingi ndio huwa mwanamke mzuri na anayekupenda. ukiona unafanya contacts za ajabu mwanamke hajali, jua na yeye anajua ambacho huwa anakifanya ambacho wewe haujakigundua....hivyo anaona akuache tu umlipizie.
 
Dah,
Mahusiano bana,
Yaani na U-Miraba Minne wako wote huo unayumbishwa tu-bint tudogo tu hadi unakuja kulalamika huku??
 
Ndio 85% ya jinsia Jirani ilivyo. .... kupata hiyo 15% ni zari la mentali

Ushauri
_________
Jaribu kupunguza muda wa kuwa naye i.e ji - keep bize na mambo yako nje ya nyumbani

Usirumbane naye kwa chochote kwani kujibu making it worse..akianza kuongea wewe komaa na Lap/tab/smart etc

Upo kwa NGO , tengeneza safari ndogo ndogo ambazo zitakufanya usiwe home

CHEPUKA. .. hii mambo ya mke mmoja + pingu ya maisha inatukosti sana hasa sisi wa dhehebu la.... ... kumbuka italeta mtafaruko for sometime but will not last forever

Lastly. .. BE A MAN.
 
Yani kusoma kote sijaona hata sehem inasomeka ...kuna siku nikampiga vibao kumpa discipline lakini hakomi....bila kumpiga huyo atakusumbua kwa sababu wewe ni zuzu...mwanawake kama watoto umleavyo ndivyo anavyo fanya ...sasa wew baba wa familia kichwa unalialia jivi...ndoa ngumu bwana mdogo
 
Ndio 85% ya jinsia Jirani ilivyo. .... kupata hiyo 15% ni zari la mentali

Ushauri
_________
Jaribu kupunguza muda wa kuwa naye i.e ji - keep bize na mambo yako nje ya nyumbani

Usirumbane naye kwa chochote kwani kujibu making it worse..akianza kuongea wewe komaa na Lap/tab/smart etc

Upo kwa NGO , tengeneza safari ndogo ndogo ambazo zitakufanya usiwe home

CHEPUKA. .. hii mambo ya mke mmoja + pingu ya maisha inatukosti sana hasa sisi wa dhehebu la.... ... kumbuka italeta mtafaruko for sometime but will not last forever

Lastly. .. BE A MAN.
Hapo walipo andika BE A MAN maana yake onesha uwanaume mtandike mfunze adabu wewe sio dada yake bali ni mume wake lazima heshma iwepo
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom