amayabhu
JF-Expert Member
- Oct 15, 2016
- 497
- 709
Kasema enzi za uchumba alikuwa anaficha makucha,,, bibi anaichawia vipi sasa hapo,,,, tabia no kama ngozi, hiyo ndio tabia ya mkewe avumilie tuInaonyesha huyo mkeo Ni mtu WA kisirani au ndoa yenu huyo bibi anaichawia