tunalazimika
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 1,098
- 256
unajua nimekuwa nikifuatilia malav dav ya kila cku humu jf na jinswatu wanavyozichapa kwa ajili ya madem huku hakuna hata moja aliyejitokeza kumtaka FaizaFoxy, kwa kuwa mim nabahat ya kuwajua weng kwa sura zenu halis wana jf weng, basi nikapenda kuwadokeza tu kuwa mngekuwa mnamjua FF kwa sura yaan sio mkubwa kama mnavyodhan na ni bonge la mstaarabu. Yaan naamin wakware kama akina . . . . . . wangehamia CCM kumfuata FF na ndoa kibao kama za akina Husinyo zingekufa kama navyomjua mim_tafadhal taja ndoa nyingne unazodhan zingevunjika iwapo tutakutana kwny party au kuweka avatar za ukweli