Ndoa enzi za mababu zetu zilikuwa zinadumu sana, utandawazi umeleta majanga

Tamati

JF-Expert Member
May 15, 2017
1,085
1,956
Utandawazi bana!!

Eti siku hizi ni mwendo bed za 6x6, lakini ukikwaruzana na mwenzi wako utakiona cha mtema kuni usiku kucha

Yaani wakati wa kulala kila mmoja anajipanza kwenye angle yoyote ya bed kasha kachukia alichofanyiwa na mwenzi wake, wengine wanalala kwa kupishanisha vichwa kabisa(anaelekea kule na mwingine kule)

Zamani kulikuwa na vitanda vyembamba kiasi kwamba mkilala na mwenzi wako lazima mgusane kwa vyovyote vile

Hata mkikusoena ila wakati wa kulala lazima mgusane jambo ambalo litamfanya kila mmoja kusahau jinsi alivyochukizwa na mwenzio na kiujikuta wanarekebishana hapo hapo na kuelewana

Joto la kugusana kwa wanandoa ni tamu na raha sana jamani

Mafundi wa vitanda mungu anawaona mjue
 
vunja ukimya na mwenza wako mtaishi kwa amani..tatizo wanandoa wa sikuhizi mnaangalia mapambo ya Nje badala ya kufanana kwenu.
 
Walidumu si sababu ya kugusana .. wazee wazamani ilikuwa mibabe .. wanawake hawaruhusiwi kuongea mbele ya mwanaume ... na akija ni ubabe ubabe hakuna mahojiano na mwanamke... ..
Nakumbuka babu yangu alikua mbabe nuksiii.... Anarudi home na mchepuko anamwambia bibi apike kuku kwa ajili ya mchepuko wake then time ya kulala bibi haruhusiwi kulala kitandani ni chini tuu
 
Mimi nafikiri kudumu kwa ndoa za mababu au wazee imechangiwa na ubabe na kutokuwepo kwa baadhi ya sheria na haki za kibinadamu kama zinazofahamika kwasasa....

kwasababu kipindi hicho naamini kabisa hata kama mmoja wapo atamtendea kosa mwenzie mara nyingi mambo huishia humo humo ndani...
ila kwasasa kila mmoja anaisaka haki yake popote ilipo,

Ila kwa maelezo kwamba ni kutokana na vitanda vyembaba sidhani kama kuna ukweli, embu jaribu kuchonga na wewe hicho kitanda huwenda kwako ikadumu
 
Nakumbuka babu yangu alikua mbabe nuksiii.... Anarudi home na mchepuko anamwambia bibi apike kuku kwa ajili ya mchepuko wake then time ya kulala bibi haruhusiwi kulala kitandani ni chini tuu
Babu yako ni mafya mshenzii
 
Ndio maana mkuu hakuvaa koti na mke hakuvaa shela
 
Back
Top Bottom