Ndoa bana..

Sexer

JF-Expert Member
Oct 22, 2014
8,216
7,907
Kwenye zizi la Ng'ombe, mke akawa anashangaa dume linavyopanda jike.
Akamuuliza dokta wa mifuko "Hivi hili dume hupanda mara ngapi kwa siku?"

Dokta akajibu "kwa wastani mara sita kwa siku "
Mke akamgeukia mumewe " Unaona! ...." Mume akajifanya hajasikia lolote.

Kisha akamgeukia dokta wa mifugo na kumuuliza, " Hivi hizo mara sita kwa siku huyu dume huwa analipanda jike hilo hilo? "

Dokta akajibu "Hapana, huwa anapanda majike tofauti...!!" Mume akamgeukia mkewe huku akitabasamu "Unaona! ....??"

We unadhania baada ya maongezi haya nini kilifuata?

Nawaza kwa sauti.....
 
Back
Top Bottom