Ndoa au ndoano?

Chinene

Member
Nov 30, 2010
17
2
Ndoa za siku hizi bwana! Wanajamii naomba mnisadie maana ndoa za siku hizi hazidumu kabisa ni mdudu gani kaingilia kati? Ndoa nazifananisha na mua, mbona wanandoa wanaanza kula kutamu na kumalizia kuchungu wakati inatakiwa uanze kula kuchungu umalizie kutamu. nina swali moja kwa kila jinsia tafadhali:
  1. Mume ungependa kufanyiwa nini haswa kwenye ndoa ili usiende nje?
  2. Mke nawe pia ungependa kufanyiwa nini, mnataka mpendejwe na vitu gani mnashidwa kuwafanyia waume zenu mpaka waangaike?
Lakini tunatakiwa tubadilike kwakweli the way we handle each other, sithani kama unamtake care mwenzako ipasavyo anaweza kukubetray ( nyumba ndogo zinajali ndio maana zinapedwa na zinajua maana ya kupendwa) au vipi wandugu???:hug:
 
Ndoa za siku hizi bwana! Wanajamii naomba mnisadie maana ndoa za siku hizi hazidumu kabisa ni mdudu gani kaingilia kati? Ndoa nazifananisha na mua, mbona wanandoa wanaanza kula kutamu na kumalizia kuchungu wakati inatakiwa uanze kula kuchungu umalizie kutamu. nina swali moja kwa kila jinsia tafadhali:
  1. Mume ungependa kufanyiwa nini haswa kwenye ndoa ili usiende nje?
  2. Mke nawe pia ungependa kufanyiwa nini, mnataka mpendejwe na vitu gani mnashidwa kuwafanyia waume zenu mpaka waangaike?
Lakini tunatakiwa tubadilike kwakweli the way we handle each other, sithani kama unamtake care mwenzako ipasavyo anaweza kukubetray ( nyumba ndogo zinajali ndio maana zinapedwa na zinajua maana ya kupendwa) au vipi wandugu???:hug:

Binadamu hawabebeki wala hawana shukurani. Mfadhiil mbuzi utakula nyama binadamu atakuudhi tu
 
Ndoa za siku hizi bwana! Wanajamii naomba mnisadie maana ndoa za siku hizi hazidumu kabisa ni mdudu gani kaingilia kati? Ndoa nazifananisha na mua, mbona wanandoa wanaanza kula kutamu na kumalizia kuchungu wakati inatakiwa uanze kula kuchungu umalizie kutamu. nina swali moja kwa kila jinsia tafadhali:
  1. Mume ungependa kufanyiwa nini haswa kwenye ndoa ili usiende nje?
  2. Mke nawe pia ungependa kufanyiwa nini, mnataka mpendejwe na vitu gani mnashidwa kuwafanyia waume zenu mpaka waangaike?
Lakini tunatakiwa tubadilike kwakweli the way we handle each other, sithani kama unamtake care mwenzako ipasavyo anaweza kukubetray ( nyumba ndogo zinajali ndio maana zinapedwa na zinajua maana ya kupendwa) au vipi wandugu???:hug:

Aendeleee kufanya mambo kama alivyokuwa ananitongoza!:redfaces::redfaces:,anisifie nimependeza,anitoe out for dinner...anitumie kutwa message za mapenzi....
:teeth:
 
love knows it all; penye upendo spouses watajua nini wanfanyie wenzao, maana ukipenda mtu ni sawa na kujipenda mwenyewe na kila mmoja wetu anajua nini anataka na asichokitaka...so dosari nyingi unazosema ziko kwenye ndoa maana yake ni symptom inayoonyesha kuwa kuna shida, yaani upendo sio wa kweli....upendo sio unataka kufanyiwa nini, bali nitamfanyia nini mwenzangu, your spouse/lover comes first...habari ndio hiyo
 
Thanks a lot Seniorita, I think umenikuna kweli. Love is very important phenomenon, if you love each other with all your heart you will have endless marriage and unbilievable one (nothing is impossible under the sun). just find someone you real love, don't play a game (hit and run) it will cost you one day. Lastly don't rush to life(marriage) for fearing to get old, you will end up to Mr/Mrs wrong due to environment or community eyes so better LATE than........................................................................................:target:
 
Ndoa za siku hizi bwana! Wanajamii naomba mnisadie maana ndoa za siku hizi hazidumu kabisa ni mdudu gani kaingilia kati? Ndoa nazifananisha na mua, mbona wanandoa wanaanza kula kutamu na kumalizia kuchungu wakati inatakiwa uanze kula kuchungu umalizie kutamu. nina swali moja kwa kila jinsia tafadhali:
  1. Mume ungependa kufanyiwa nini haswa kwenye ndoa ili usiende nje?
  2. Mke nawe pia ungependa kufanyiwa nini, mnataka mpendejwe na vitu gani mnashidwa kuwafanyia waume zenu mpaka waangaike?
Lakini tunatakiwa tubadilike kwakweli the way we handle each other, sithani kama unamtake care mwenzako ipasavyo anaweza kukubetray ( nyumba ndogo zinajali ndio maana zinapedwa na zinajua maana ya kupendwa) au vipi wandugu???:hug:
  1. Mume ungependa kufanyiwa nini haswa kwenye ndoa ili usiende nje?
ningpenda nifanyiwe maombi nje isiinuke ilale kabisa kabisa nje ya ndoahili ndilo ombi la wana jf wa kiume na nyie wanawake...maana hii ndio soln yetu sijui nyie
 
  1. Mume ungependa kufanyiwa nini haswa kwenye ndoa ili usiende nje?

ningpenda nifanyiwe maombi nje isiinuke ilale kabisa kabisa nje ya ndoahili ndilo ombi la wana jf wa kiume na nyie wanawake...maana hii ndio soln yetu sijui nyie
:A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up:
 
wamama mbona amjibu jamani angalieni wanaume wasije na mawazo yao hapa mkaumia
maana naambiwa wengine wanaendaga kwa DK MANYUKI wa kike saasa kuweni macho na hili wasije funga mapaja hayo ukiwa nje ukashangaa yamenata kama sumaku
 
Ndoa za siku hizi bwana! Wanajamii naomba mnisadie maana ndoa za siku hizi hazidumu kabisa ni mdudu gani kaingilia kati? Ndoa nazifananisha na mua, mbona wanandoa wanaanza kula kutamu na kumalizia kuchungu wakati inatakiwa uanze kula kuchungu umalizie kutamu. nina swali moja kwa kila jinsia tafadhali:

  1. Mume ungependa kufanyiwa nini haswa kwenye ndoa ili usiende nje?
  2. Mke nawe pia ungependa kufanyiwa nini, mnataka mpendejwe na vitu gani mnashidwa kuwafanyia waume zenu mpaka waangaike?
Lakini tunatakiwa tubadilike kwakweli the way we handle each other, sithani kama unamtake care mwenzako ipasavyo anaweza kukubetray ( nyumba ndogo zinajali ndio maana zinapedwa na zinajua maana ya kupendwa) au vipi wandugu???:hug:
Matatizo yote haya yanaletwa na maadui wafuatao;

  1. Ujinga
  2. Umasikini
  3. Rushwa
  4. Ufisadi
  5. Haki za binadamu
Matokeo yake ni kama;

  1. Uchakachuaji
  2. Maradhi
  3. Utandawazi
  4. Divorce
  5. nk
 
Back
Top Bottom