Goldman
JF-Expert Member
- Dec 10, 2010
- 1,930
- 2,397
Niko manzese saa 7 usiku nagonga beer, its weekend aisee wamekuja police wametukimbiza wametupa beers zimepigwa risasi tatu hewani, yaani leo tz tumefikia hapa hivi ccm mnatufikisha hapa! Vinywaji mezani vyote vimemwagwa! Bar ni erado! Hivi police anaruhusiwa kupiga risasi hewani tena tatu, na kumwaga vinywaji vyote!
Point siyo manzese point ni askari kupiga risasi hewani tatu bila kuwa kuudhiwa pia kumwaga beer zote za mezani kwa wateja.
Point siyo manzese point ni askari kupiga risasi hewani tatu bila kuwa kuudhiwa pia kumwaga beer zote za mezani kwa wateja.