mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,493
- 767
Hodi jamvini wana JF..nimekua nikifuatilia mada za humu ndani kwa mda mrefu sasa nimeamua nijitose mzima mzima baada ya kuzikamata vilivyo sera na fursa mbalimbali zilizomo humu ndani
Nisiongee mengi tukutane kwenye mathreads..hasa hasa zile za mape!!
by mkono wa paka
Nisiongee mengi tukutane kwenye mathreads..hasa hasa zile za mape!!
by mkono wa paka