Yaani nimeamka sina habari kama jana usiku nilisex na demu. Nachukua simu nakuta kuna namba nilibip saa sita usiku. Nacheki whatsapp nakuta msg dogo ananiambia nakuona bro umemtoa wapi uyo dem, saa sita usiku. Nakuta nilimjibu baa. Ndo nakumbuka jana nilikuwa maeneo flan napiga bia, ile nimemaliza naondoka zangu nakutana na madem watatu wanaingia, nikamdaka moja nikamuambia nakaa hapo mbele tu siyo mbali. Pombe inapoteza kumbukumbu sana hata sikumbuki sana shoo nzima ilikuwaje baada ya kumaliza nilimtoa nje nikafunga milango nikalala, bora angebaki then asubuhi nipige shoo huenda ningeenjoi