Willium lukuvi alikuwa ni miongoni mwa vigogo ambao inasemekana ni mafisadi wa elimu. Kwamba elimu zilizopo kwenye maelezo yao binafsi, cv, si ya kweli na kwamba kupitia hayo maelezo, baadhi yao sasa ni madokta.
Pamoja na kutishia kumshtaki msemakweli, mwandishi wa kitabu cha 'mafisadi wa elimu' hakuna hatua ambayo tuliona ikichukuliwa dhidi ya mwandishi.
Kilinifanya kukumbuka haya ni juzi kwenye gazeti la daily news la jumatatu ambapo moja ya kurasa zake zinaonesha picha ya lukuvi akiwa na mudhihiri mudhihiri ambao kwa pamoja walikuwa wamevaa mavazi ya wahitimu wa elimu ya juu katika chuo kikuu huria.
Udhaifu wa caption haukuonesha iwapo lukuvi ni mhitimu wa shahada gani hali inayonifanya nihoji: Huyu jamaa ndo keshajivua ufisadi wa elimu?
Pamoja na kutishia kumshtaki msemakweli, mwandishi wa kitabu cha 'mafisadi wa elimu' hakuna hatua ambayo tuliona ikichukuliwa dhidi ya mwandishi.
Kilinifanya kukumbuka haya ni juzi kwenye gazeti la daily news la jumatatu ambapo moja ya kurasa zake zinaonesha picha ya lukuvi akiwa na mudhihiri mudhihiri ambao kwa pamoja walikuwa wamevaa mavazi ya wahitimu wa elimu ya juu katika chuo kikuu huria.
Udhaifu wa caption haukuonesha iwapo lukuvi ni mhitimu wa shahada gani hali inayonifanya nihoji: Huyu jamaa ndo keshajivua ufisadi wa elimu?