Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,439
- 12,294
Nimeona juzi tu chalii kaachia ngoma mpya tena ikiwa ni katikati ya trending stories kuhusu Chibu na Album yake,Chibu na Song kali la African Beauty,Chibu na Wema,Chibu na Yule Demu Msaidizi wa Waziri wa Habari.
Ninachoshangaa ni kuona ule wimbo km hausikiki kabisaaa,Aslay huyu huyu alokuwa anapewa promo ya kutisha na wale wanaojiita mashoga na ile media yao leo hii wameshindwa kumpamba huyu dogo? Au wamekosea timing ya kumshauri dogo aachie ngoma ili kumzima Simba? au ngoma mbovu?
Ushauri tu kwa Aslay km anajielewa asijaribu kutumika ili kupambanishwa na watu ataumia afanye mziki km yeye na si mashindano,wakubwa zake wameshindwa atakua yeye? Hao jamaa watamponza akamuulize mfalme uchwara yule sa hivi amebaki kupaka rangi ya ice cream kwenye nywele tu kama Alicia Keys.
Ninachoshangaa ni kuona ule wimbo km hausikiki kabisaaa,Aslay huyu huyu alokuwa anapewa promo ya kutisha na wale wanaojiita mashoga na ile media yao leo hii wameshindwa kumpamba huyu dogo? Au wamekosea timing ya kumshauri dogo aachie ngoma ili kumzima Simba? au ngoma mbovu?
Ushauri tu kwa Aslay km anajielewa asijaribu kutumika ili kupambanishwa na watu ataumia afanye mziki km yeye na si mashindano,wakubwa zake wameshindwa atakua yeye? Hao jamaa watamponza akamuulize mfalme uchwara yule sa hivi amebaki kupaka rangi ya ice cream kwenye nywele tu kama Alicia Keys.