Ndiyo kusema Tanzania imejiunga kwenye Umoja wa Nchi za Kiarabu kimya kimya?

Lanlady

JF-Expert Member
Feb 27, 2019
1,421
4,729
Nauliza swali hili kutokana na mabadiliko ya lugha katika baadhi ya bidhaa ambazo hapo kabla hazikutumia lugha ya Kiarabu. Ningeweza kuweka baadhi ya picha za bidhaa hizo, lakini kwa sababu za kibiashara nimeona si vyema.

Kama tayari tuko kwenye umoja huo, tuambiwe ili tujue. Kwasababu hata ziara za mara kwa mara za viongozi wa kitaifa katika nchi hizo kwa siku za hivi karibuni zinazua maswali mengi.

Kama wananchi wa Tanzania tuna haki ya kujua nini kinaendelea.
 
Nauliza swali hili kutokana na mabadiliko ya lugha katika baadhi ya bidhaa ambazo hapo kabla hazikutumia lugha ya kiarabu
Ningeweza kuweka baadhi ya picha za bidhaa hizo, lakini kwa sababu za kibiashara nimeona si vyema.

Kama tayari tuko kwenye umoja huo, tuambiwe ili tujue. Kwasababu hata ziara za mara kwa mara za viongozi wa kitaifa katika nchi hizo; kwa siku za hivi karibuni, zinazua maswali mengi.
Kama wananchi wa Tanzania tuna haki ya kujua nini kinaendelea.

Bidhaa zipi?Kama huwezi kuzitaja tukujibu Kwa Kuota?
 
Nauliza swali hili kutokana na mabadiliko ya lugha katika baadhi ya bidhaa ambazo hapo kabla hazikutumia lugha ya kiarabu
Ningeweza kuweka baadhi ya picha za bidhaa hizo, lakini kwa sababu za kibiashara nimeona si vyema.

Kama tayari tuko kwenye umoja huo, tuambiwe ili tujue. Kwasababu hata ziara za mara kwa mara za viongozi wa kitaifa katika nchi hizo; kwa siku za hivi karibuni, zinazua maswali mengi.
Kama wananchi wa Tanzania tuna haki ya kujua nini kinaendelea.
Unaleta habari bila ushahidi wowote halafu tukujibu!

upo serious kweli mkuu ?
 
Nauliza swali hili kutokana na mabadiliko ya lugha katika baadhi ya bidhaa ambazo hapo kabla hazikutumia lugha ya Kiarabu. Ningeweza kuweka baadhi ya picha za bidhaa hizo, lakini kwa sababu za kibiashara nimeona si vyema.

Kama tayari tuko kwenye umoja huo, tuambiwe ili tujue. Kwasababu hata ziara za mara kwa mara za viongozi wa kitaifa katika nchi hizo kwa siku za hivi karibuni zinazua maswali mengi.

Kama wananchi wa Tanzania tuna haki ya kujua nini kinaendelea.
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana.... kuna bidhaa zina maandishi ya kifaransa basi tutakuwa tumejiunga na ufaransa kimyakimya.
 
Nauliza swali hili kutokana na mabadiliko ya lugha katika baadhi ya bidhaa ambazo hapo kabla hazikutumia lugha ya Kiarabu. Ningeweza kuweka baadhi ya picha za bidhaa hizo, lakini kwa sababu za kibiashara nimeona si vyema.

Kama tayari tuko kwenye umoja huo, tuambiwe ili tujue. Kwasababu hata ziara za mara kwa mara za viongozi wa kitaifa katika nchi hizo kwa siku za hivi karibuni zinazua maswali mengi.

Kama wananchi wa Tanzania tuna haki ya kujua nini kinaendelea.


Kama wanaleta miradi kuna shida gani hii nchi haijitaji ukabila wala ubaguzi tunahitaji maendeleo.
 
Back
Top Bottom