Lanlady
JF-Expert Member
- Feb 27, 2019
- 1,421
- 4,729
Nauliza swali hili kutokana na mabadiliko ya lugha katika baadhi ya bidhaa ambazo hapo kabla hazikutumia lugha ya Kiarabu. Ningeweza kuweka baadhi ya picha za bidhaa hizo, lakini kwa sababu za kibiashara nimeona si vyema.
Kama tayari tuko kwenye umoja huo, tuambiwe ili tujue. Kwasababu hata ziara za mara kwa mara za viongozi wa kitaifa katika nchi hizo kwa siku za hivi karibuni zinazua maswali mengi.
Kama wananchi wa Tanzania tuna haki ya kujua nini kinaendelea.
Kama tayari tuko kwenye umoja huo, tuambiwe ili tujue. Kwasababu hata ziara za mara kwa mara za viongozi wa kitaifa katika nchi hizo kwa siku za hivi karibuni zinazua maswali mengi.
Kama wananchi wa Tanzania tuna haki ya kujua nini kinaendelea.