ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 19,681
- 28,177
Hata mumchukie vp huyo jamaa,kakanyaga wizara nyingi nyeti kweli aliyepewa kapewa tu, tukubali.....
kahudumu wizara ya mifugo na kilimo, mambo ya ndani,sheria sasa wizara ya fedha.....
nyie mnaopiga kelele humu hamjawahi hata kuwa watendaji wa kijiji kumbaf zenu!!!
kahudumu wizara ya mifugo na kilimo, mambo ya ndani,sheria sasa wizara ya fedha.....
nyie mnaopiga kelele humu hamjawahi hata kuwa watendaji wa kijiji kumbaf zenu!!!